Unalialia nin mwanaume ww!!!Habari wanandugu.
Nina miaka 30 sasa chini ya jua hili. Naishi peke yangu. Sina mchumba wala mpenzi ila natamani sana kama niwe na mwenzangu japo wa kubadilishana nae mawazo usiku lakini moyo umekua mzito sana. Niliwahi kuwa na mpwnzi ambayw nilika nae kwenyw mahusiano kwa muda wa miaka 6 lakini nilipotaka kumpeleka kwetu nimtambulishe rasmi aliniruka kama hanijui vile. Ni mwaka sasa tangu nimeachana nae lakini bado sumu aliyoiacha moyoni mwangu inaendelea kunitafuna juu ya mapenzi. Nisaidieni mawazo hapa nifanyaje kuondokana na hali hii...
Umewahi kukumbwa na tetemeko nini? maana unapendelea kutaja sana hili janga.Una kipaji maalum ndugu, miaka sita wapenzi?? Aiseeee hiyo ni zaidi ya tetemeko
hakuna anaeweza kunifariji ! wala siitaji hyo faraja labda mtoto tu sio mwanaume yoyote
kweli kabisaMalipo ni hapa hapa duniani,relax what goes around comes around Mungu yupo kazini hata yeye yatamkuta tu alipo.
We si uliringa kwa Ngabu jamanikumbe tupo wengi .mimi nimekuwa sugu kabisa
We si uliringa kwa Ngabu jamani
Was thinking the same and am a girl.How Do You Spend 6 Goddamn Years With One Bitch???!
That Deserves An Award.
Wewe piga pu.mbu then ingia mitini,usiweke kambi kwa mtu kwa kujifanya unajua kupenda.wanawake sio viumbe wa kuwaamini hata robo sekunde jomba.