Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,238
- 90,417
Next week niko Kigali, nafikia Gahinga kule,ila huwa na shinda sana sports view opp na amahoro stadium
Imeanza lini mkuu??Inawezekana sana maana hiyo ni kama lk nne za huku
= hindrances ... ila siyo mbaya, tutafika tu ila magu aache kuvuruga jumuiyaHata kwa mwana East African mwenzenu kuna hinders ya kufanya biashara?
Hapo sawa= hindrances ... ila siyo mbaya, tutafika tu ila magu aache kuvuruga jumuiya
Hata aibu huna.....yaani nifunge safari hadi Kigali kulitembelea njemba!!!! Ungekuwa mrembo ningekuja. Vinginevyo niendelee kumuwinda Jesca tu sababu hata yeye ni product ya kwenu huko......Mimi ni mwanaume
Kama hyo avatar yako,lazima nije huko aisee
Hata aibu huna.....yaani nifunge safari hadi Kigali kulitembelea njemba!!!! Ungekuwa mrembo ningekuja. Vinginevyo niendelee kumuwinda Jesca tu sababu hata yeye ni product ya kwenu huko......
Imeniforce nicheke baada ya kuona hayo maziwa,
Imeniforce nicheke baada ya kuona hayo maziwa,
Mugihe ndari kwa dodo haya ikanombe, ndajyaga gufata amata ayongayo mukajagari. Yalikuwa matamu sana na cake moja matata. Nimekasana kgl.
Hahaha,kanombe airport, wasalimie sanaMkuu niko hapa kicukiro hii njia kama unatoka sona tubes jirani na centre de sante kicukiro..... kwa mbali naiona kanombe ndege zikiruka!
Unatatizo, na ulichokijibu hukijui.Imeanza lini mkuu??
Nilikuwa huko two weeks ago ukichenchi 100,000 ya Tanzania unapata Franks 40,000 hadi 43,000.
Hiyo laki nne kama ni Uganda Sawa not RWANDA
Maziwa ya Dar yanaathiriwa na joto, na wachakachuaji ni wengi sana.Sio maziwa ya Dar wanywa waanza umwa kwash kor
Maziwa ya Dar yanaathiriwa na joto, na wachakachuaji ni wengi sana.
Kwa rubangura niho ndaja ufata abagore siku moja moja,
bado wanakuja pale nyuma?









Lakini nasikia huko kutembea usiku ni nadra unaweza lala central kimaskhara ... usiku wanajeshi ni wengi... WA TZ tukiona mjeshi huwa hatuna amani kabsa....Hapana wasikutishe
Wanakulaza mikono salaama, ila mimi walikuwa wananisindikiza mpaka home,. Nilikuwa naisha pale kanombeLakini nasikia huko kutembea usiku ni nadra unaweza lala central kimaskhara ... usiku wanajeshi ni wengi... WA TZ tukiona mjeshi huwa hatuna amani kabsa....
Lakini nasikia huko kutembea usiku ni nadra unaweza lala central kimaskhara ... usiku wanajeshi ni wengi... WA TZ tukiona mjeshi huwa hatuna amani kabsa....
Urakoze cyane.Ikivuguto ndakikunda cyane rwose