munyambo p
Senior Member
- Aug 18, 2017
- 173
- 167
- Thread starter
- #41
KimironkoKigali kubwa ndg;Anzia Kabuga hadi Ruyenzi,yote hiyo ni Kigali.
KimironkoKigali kubwa ndg;Anzia Kabuga hadi Ruyenzi,yote hiyo ni Kigali.
Inawezekana sana maana hiyo ni kama lk nne za hukuMkuu nina budget ya million moja ya kitanzania...nataka nije nikae week moja na nusu...vipi inaweza tosha? kwa malaz..chakula na mahitaj mengne madogo madogo
Poa.Kimironko
Kibungo,Gitarama,Ruhengeri,Byumba,Gisenyi,Butare,Cyangugu,kayonza,Rwamagana, Kigali kiyovu,nyamirambo,kicukiro,remera,gikondo,Ulitembelea maeneo yapi ndg?
Hahaha,nipo zangu Kicukiro mkuu napunga upepo.Kibungo,Gitarama,Ruhengeri,Byumba,Gisenyi,Butare,Cyangugu,kayonza,Rwamagana, Kigali kiyovu,nyamirambo,kicukiro,remera,gikondo,
Nadhani ww Rwanda unaielewa vya kutoshaWakati wa civil war na Genocide nilikuwa Rwanda..kwaajili yakazi za humatarian.
Mimi nilipewa nyumba Remera nikaikabidhi kwa returnees.Hahaha,nipo zangu Kicukiro mkuu napunga upepo.
Mm mwenyewe niliwahi kuishi huko dar na tanzania naipenda sana piaMimi nilipewa nyumba Remera nikaikabidhi kwa returnees.
Mungu ibariki afrikaNadhani ww Rwanda unaielewa vya kutosha
Pamoja mkuu.Sisi bado tupo kwa hawa ndg zetu.Toka awamu ya Jk iingie madarakani.Mimi nilipewa nyumba Remera nikaikabidhi kwa returnees.
255 Arusha tz ni salamaMmeamka je jamani
We Jamaa VP kwani wadada ni moja ya vivutio?Post picha za vivutio vya Rwanda kwanza ( ukiacha masokwe na hao wadada zenu)