Kutembelea Rwanda

Kutembelea Rwanda

Status
Not open for further replies.
images (28).jpg
images (29).jpg
images (27).jpg
 
Habari zenu jamani huku kwetu hatujambo tunaendelea kufurahi na kumushukuru Mungu kwa kuturinda.

Jamani mtu ambae anataka kutembelea kwetu huku Kigali Ni karibu kabisa maana sisi sote Ni ndugu
Ni kweli kabisa, sisi sote ni ndugu. Tutatembelea huko siku moja
 
Nitakuja kutembelea Rwanda nikisikia Victorry Ingambire na Diana wameachiwa huru.
 
Sema Rwanda ni nchi ya dhiki sana!Wananchi hasa huko vijijini wanaishi maisha ya uduni uliopindukia!

Wazee kwa vijana huhangaika vya kutosha ili tu angalau wapate mlo mmoja kwa siku!
 
Nilikuja nikaishia kayonza mko vizuri nitakuja ndugu
Jamaa kwa kujisafisha nje wapo vizuri!Lkn ni nchi ambayo kuishi ni ngumu sana kwa kila kitu!Hata wao Tz ikiamua ikaze kabisa wataathilika pakubwa!Tatizo jingine walilonalo-ni wavivu na wajivuni!Hujiona wao ni zaidi ya kumbe bure kabisa!
 
Wala usihangaike nao!Washamba flani na %99.9 ya mwanamke wa Rwanda hajui kumkataa mwanaume!
Aiseeeh nakubaliana na wewe 90% , nimeishi na kukulia mikoa ya kanda ya ziwa karibu nao. Na kuna ndugu zangu wameoa huko ni balaa full kutom***ewa...


Pia ni malimbukeni full ushamba, kuna mmoja alimtongoza shemeji yake
 
Aiseeeh nakubaliana na wewe 90% , nimeishi na kukulia mikoa ya kanda ya ziwa karibu nao. Na kuna ndugu zangu wameoa huko ni balaa full kutom***ewa...


Pia ni malimbukeni full ushamba, kuna mmoja alimtongoza shemeji yake
Ovyo sana!Naifahamu Rwanda na wanyaRwanda kuliko!Miaka 17 nimeishi Rwanda maeneo tofauti.
 
Sema Rwanda ni nchi ya dhiki sana!Wananchi hasa huko vijijini wanaishi maisha ya uduni uliopindukia!

Wazee kwa vijana huhangaika vya kutosha ili tu angalau wapate mlo mmoja kwa siku!
Acha unafki na roho mbaya, hao wanyarwanda unaosema wanamaisha duni hakuna hata mmoja anayelala nyumba ya nyasi nchi nzima, ukiona nyasi ujue ni nyumba za kimila, wanyarwanda wanakunywa maziwa, watoto wanalaptop shuleni huwezi kufananisha na Tanzania yetu!
 
Inshuti munyambo ningekuwa rwanda ningekuja kicukiro

images (30).jpg
 
Kwa jumla nchi ya Rwanda ina usalama wa kutosha hayo mengine ni mambo ya siasa hata kwenu yapo mfano babu seya ,tundu lissu na wengine
Babu Seya na Tundu Lissu ni mambo gani ya kisiasa? kubaka watoto na kwenyewe ni mambo ya kisiasa au unasema usichokijua?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom