Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,793
- 1,968
Me nipo Kibeho, wewe upo kigari mtaa gani au fix tu unataka kuwazingua watu
Proudly Rwandese![]()
Sio wabantuHivi nyie Wanyarwanda si ni wabantu au kuna tofauti?
Nasikia eti na nyie ni Waisraeli?Ni kweli?
Sio wabantu
Hivi nyie Wanyarwanda si ni wabantu au kuna tofauti?
Nasikia eti na nyie ni Waisraeli?Ni kweli?
Acha unafki na roho mbaya, hao wanyarwanda unaosema wanamaisha duni hakuna hata mmoja anayelala nyumba ya nyasi nchi nzima, ukiona nyasi ujue ni nyumba za kimila, wanyarwanda wanakunywa maziwa, watoto wanalaptop shuleni huwezi kufananisha na Tanzania yetu!
Aiseeeh nakubaliana na wewe 90% , nimeishi na kukulia mikoa ya kanda ya ziwa karibu nao. Na kuna ndugu zangu wameoa huko ni balaa full kutom***ewa...
Pia ni malimbukeni full ushamba, kuna mmoja alimtongoza shemeji yake












kugogewa unagongewa popote kama wanaume wa Dar tu wanavogongewa na maisha yanaendaJamaa kwa kujisafisha nje wapo vizuri!Lkn ni nchi ambayo kuishi ni ngumu sana kwa kila kitu!Hata wao Tz ikiamua ikaze kabisa wataathilika pakubwa!Tatizo jingine walilonalo-ni wavivu na wajivuni!Hujiona wao ni zaidi ya kumbe bure kabisa!


endeleeni kupaa na bombadia hakuna namnaKwan wabantu na waisraeli n binadam au kuna mbwa na mbuzi hapo..??
Vipi demokrasia huko kwenu,immeminywa kiasi gani?Habari zenu jamani huku kwetu hatujambo tunaendelea kufurahi na kumushukuru Mungu kwa kuturinda.
Jamani mtu ambae anataka kutembelea kwetu huku Kigali Ni karibu kabisa maana sisi sote Ni ndugu
Wala usihangaike nao!Washamba flani na %99.9 ya mwanamke wa Rwanda hajui kumkataa mwanaume!
Vipi demokrasia huko kwenu,immeminywa kiasi gani?
Ukijibu maswali kwa kutumia ubongo utapungukiwa na nini?
Halafu si Mnyarwanda wewe?Unashindwa hata kujibu maswali kwa kutumia sober mind bila kutukana au kukejeli mtu?
Umeulizwa,"Wanyarwanda hua wanadai wana asili ya Israel,ni kweli au si kweli?"....Just answer that basi intelligently kuonesha kua Wanyarwanda ni vichwa na sio otherwise!





SMH mnaweweseka na Rwanda utadhan washawagongea madem zenu hum nyuzi n rwanda rwanda why not Burundi..??? hapana chezea RwandaDissin', but got pictures with me smilin' thoughNyie Tz mko kongo mnakata viuno sisi hatuna mda kucheka na kenge kazi juu ya kazi yani bampa to bampa Jamii forums sio ya bibi ako pole sana sikulaumu wewe nalaumu wewe kukulia kwa bibi yako mzaa mama wakati mama ako ako anauza chakula kwa mafundi gereji na ndo baba zako wale
![]()
Dissin', but got pictures with me smilin' though
All the things you need, you still want problems though
Walidai wap na kama ni waisraeli au wabantu wewe unashindwa kula ugali wenu wa dona huko Tz au chips mayai za wanaume wa DarSMH mnaweweseka na Rwanda utadhan washawagongea madem zenu hum nyuzi n rwanda rwanda why not Burundi..??? hapana chezea Rwanda
Your level of ignorance is really beyond comprehension...You are so disturbingly ignorant of your own country and ethnic group...
Nani kazungumzia dona na chips hapa?Hata kama Mbongo anakula Dona na Chips,nyie Rwandese mnakula gold?
Kugongewa madem panakujaje hapo?Na nani kakwambia nimegongewa dem?Au umegeuka mganga wa jadi unapiga ramli?
Nimegundua discussing with you anything is a waste of your time and mine too.
Heri mtu a-discuss na one of Rwandese sober minds in Munyambo P and others,not some head case like you!




sinaga shobo na waswahili