Mibas
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,211
- 6,383
Hayo Ni mambo ya zamani Siku hizi mambo ni salama kabisaHuko si ndio nyumbani kwa Ntaharamwe?
Hujanielewa vizuriKwahiyo walio na bahari kama sisi ndio hatuagizi nje?
nitakujaHayo Ni mambo ya zamani Siku hizi mambo ni salama kabisa
Karibu sananitakuja
NdioMkuu ivi munyambo ni majina ya Rwanda?
Urakoze cyaneMimi nishawahi kuja rwanda,kwakweli ni nchi nzuri yenye vilima vingi.turi kumwe
Rwanda kubwa upo sehemu gani?Ndio
Je kassina na Magati?Ndio
Ulitembelea maeneo yapi ndg?Mimi nishawahi kuja rwanda,kwakweli ni nchi nzuri yenye vilima vingi.turi kumwe
KigaliRwanda kubwa upo sehemu gani?
Tatizo kodi,mnanyonya sana wafanyabihashara.Unajua Rwanda kila kitu tunaagiza nje hatuna bahari kwa hiyo utakachofanya chote utafanikiwa ila unatakiwa ufuate utaratibu wa kufanya biashara hku
Kodi ni kila sehemu tunatofautiana kiasi tu cha msingi ukipata faida kuna tatizo gani kulipa kodiTatizo kodi,mnanyonya sana wafanyabihashara.
Kigali kubwa ndg;Anzia Kabuga hadi Ruyenzi,yote hiyo ni Kigali.Kigali