Kutapambazuka!

Kutapambazuka!

kwanini tusiseme waafrika kuwa hatuwezi maswala ya uongozi! au system imetushinda..?
nchi ngapi zimeweka upinzani lkn kama sie kama wao!.
kama hatuna viongozi wenye dira,tujue tu tumetumbukia!.
sio ccm tu hata huko tumejionea siasa za maji taka! unafikiri mtoto mdogo kama mimi nitakuwa sina mashaka kwa mkono huu wa mzazi mtapatapa..?
moja kati yaliyotupunguka ktk kuteuwa viongozi ni saikolojia!! hili linazidi hata elimu!.

kuwa na ccm au chadema au cuf ktk uongozi si tatizo!,tatizo ni kuwa na viongozi sahihi wenye dhamira ya dhati ktk kuipeleka nchi pazuri,tatizo si kutawala kwa mpito au milele bali kiongozi mwenye dira kwenye nchi yenye dira.

moja lakutafakari pili lakupigia mstari!,je ni kweli tunaviongozi wanaostahili..?
 
A country that does not know how to read and write is easy to deceive.
 
How easy it is to govern when one follows a system of consulting the will of the people and one holds as the only norm all the actions which contribute to the well being of the people.

Ccm haitakiwi kabisa Tanzania.
Ila kutapambazuka tu, alikuwepo Mugabe.

Yani hata kesho ikiondolewa ni maelfu ya watanzania watalia CHOZI la furaha
 
How easy it is to govern when one follows a system of consulting the will of the people and one holds as the only norm all the actions which contribute to the well being of the people.

Ccm haitakiwi kabisa Tanzania.
Ila kutapambazuka tu, alikuwepo Mugabe.

Yani hata kesho ikiondolewa ni maelfu ya watanzania watalia CHOZI la furaha
Tulikuwa tunawacheka na kuwabeza wazimbabwe lakini ghafla bin vuu na pasipo kutarajiwa na wengi pambazuko likaja.... Tena kupitia jeshi tena kwa akili kubwa... Jeshi la Zimbabwe limeonesha njia..... Lakini vile vile limethibitisha ule usemi usemao nyuki hakumbatiwi
 
Ukisoma KULI, ya S. Adam S. Mwisho kabisa RASHIDI anasema "Yana Mwisho haya!"
 
Ukisoma KULI, ya S. Adam S. Mwisho kabisa RASHIDI anasema "Yana Mwisho haya!"
Umenikumbusha kitabu cha NGOSWE: PENZI KITOVU CHA UZEMBE... mapenzi kwa chama yamesababisha hasara na uzembe mkubwa sana nchini
 
Bora papambuzuke tu.....maana hili gheto kwa sasa limejaa kunguni viroboto na pia linavuja.......
 
Hivi kwanini MTU analazimisha kuonekana anapendwa na analazimisha kuwatawala watu wasiomtaka?
 
Nimeipenda hio ya "hakuna kinachoitwa Bahati mbaya"umeeleweka mkuu,mwenye masikio na asikie.
 
Back
Top Bottom