Kweli mkuu![]()
![]()
![]()
chama ndio kinaangaliwa kuliko maslahi mapana ya nchi... Kipaumbele ni ccm isitoke madarakani hivyo ukiandika uhalisia watakuona bogus tuu... Ila uzuri ni kwamba maandishi hayafutiki
Hivi kwanini MTU analazimisha kuonekana anapendwa na analazimisha kuwatawala watu wasiomtaka?
Nimeipenda hio ya "hakuna kinachoitwa Bahati mbaya"umeeleweka mkuu,mwenye masikio na asikie.
Usiku ukikomaa ujue karibu kupambazuka
Bora papambuzuke tu.....maana hili gheto kwa sasa limejaa kunguni viroboto na pia linavuja.......
Nimependa sana hii phrase.Ni rahisi kuchonga kinyago kizuri toka kwenye gogo.. Lakini ni ngumu mno kurekebisha
kinyago kilichokwisha haribiwa
And if possible,"itapendeza zaidi " to show the way through.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
I have done my part..!!!
Ubinafsi + Ubabe + ukabila nk. ndio mitaji ya viongozi wengi wa Kiafrika.Your thinking makes it so. Nchi za kiafrika zina laana, haiwezekani shida iwe Africa (mostly) tu.
Huyu mwanamke kichwa chake hatundikii wigi tu.