Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
This is yet again just too low a way to seek cheap popularity for the corruption-ridden CCM wrong-side table cloth.
Si ilishawahi kua jiji hii? Mbona walivoivua ujiji hawakutangaza?
Tetesi: Fungu lililotengwa kwa ajili ya afla ya kutangaza Arusha kua jiji ni Tsh........ Nakutania
Dodoma sidhani kama leo au kesho. Naona michakato inaanza coz stand wanataka waipige jerk thats why pale wameiamisha, pia jamatini stand ya daladala wameiamisha.. kwahiyo tujipe moyo labda 2015 hivi
Wewe Nape anakulipa shilingapi?manake unaropoka sanaPadri wenu juzi kaumbika igunga mkakodi coster mbili kutoka igunga ,choma na nkinga anayebisha ajitokeze chezea igunga wewe anahutubia watu bize na kazi hahahaahahaha hadi kasulumbai akasema igunga hali imekuaje mbona tunaporomoka eti wanapanga kuja ku M4D kwa mwezi watu sio wamechoka porojo
Hilo swali nimemuuliza journalist mmoja nguli mpaka sasa hajanipa jibu lolote. Mi nakumbuka ilipopandishwa Mwanza sikusikia kama kulikuwa na hafla yoyote, na hata baadae Tanga na Mbeya sasa sijui Arusha ina nini la maana mpaka ufanyike uzinduzi?
arusha na mwanza mkoa upi ambao uko vzr zaidArusha ilishakuwa jiji hata kabla ya mbeya.