Kwa Arusha kutangazwa kuwa jiji na ona ni haraka tu! Mji wa Arusha una changamoto nyingi ambazo wange zishughulikia kabla ya kutangazwa kuwa jiji.
Changa moto kama!
1 barabara hili ni tatizo kubwa hata zilizopo ni nyembamba sana, kwakweli huu mji una hitaji barabara za kutosha ni haibu kusema Arusha ni jiji labda kwa mtu ambaye ajawai kuishi au kupita Arusha anaweza asishangae!
Japo miundo mbinu si kigezo pekee lakini kwa hili kuna udhaifu sana!
Kwakweli ni bora nguvu nyingi zingeelekezwa kwenye kuuboresha mji huo, sijajua hiyo haraka ni ya nini?
Ukweli lazima usemwe Arusha bado huku ni kujifariji, lakini pamoja na vitega uchumi vingi vilivyoko hasa utalii nashangaa mji wa Arusha kuwa na miundo mbinu hafifu!
Katika hali isiyokuwa ya kawaida ni kwamba mamia ya watu wamezombwa kutoka sehemu mbali mbali za mkoa wa Arusha kuhudhuria uzinduzi wa jiji la Arusha hapo kesho.
Hotel za hapa jijini Arusha tayari zimeshajaa na wakazi wa Arusha wametoa tahadhari kwamba uzinduzi wa jiji kesho usihusishe siasa zozote especially za ccm maana wataipinga hali hiyo kwa nguvu zote.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Arusha ilishakuwa jiji hata kabla ya mbeya.
Kwa Arusha kutangazwa kuwa jiji na ona ni haraka tu! Mji wa Arusha una changamoto nyingi ambazo wange zishughulikia kabla ya kutangazwa kuwa jiji.
Changa moto kama!
1 barabara hili ni tatizo kubwa hata zilizopo ni nyembamba sana, kwakweli huu mji una hitaji barabara za kutosha ni haibu kusema Arusha ni jiji labda kwa mtu ambaye ajawai kuishi au kupita Arusha anaweza asishangae!
Japo miundo mbinu si kigezo pekee lakini kwa hili kuna udhaifu sana!
Kwakweli ni bora nguvu nyingi zingeelekezwa kwenye kuuboresha mji huo, sijajua hiyo haraka ni ya nini?
Ukweli lazima usemwe Arusha bado huku ni kujifariji, lakini pamoja na vitega uchumi vingi vilivyoko hasa utalii nashangaa mji wa Arusha kuwa na miundo mbinu hafifu!
Anyway,kwanini kwa Arusha imekuwa so special? Mbeya,Tanga,Mwanza ilikuwa hivi? Politics?
Anyway,kwanini kwa Arusha imekuwa so special? Mbeya,Tanga,Mwanza ilikuwa hivi? Politics?