Testar
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 7,461
- 12,217
Hukuandamana UKUTA, wala kwa Da'Mange kwa Lissu utajitokeza kweli?Mm kwa uchungu nilio nao naona muda na masaa yanachelewa.
Hukuandamana UKUTA, wala kwa Da'Mange kwa Lissu utajitokeza kweli?Mm kwa uchungu nilio nao naona muda na masaa yanachelewa.
Umeongea points tupu. Huwez kumwamsha mtu akaandamane wakati hajui mwisho wa siku maandamano yanaishia ikulu au Kariakoo sokoni
Oooh! Wakati ule sikuwa nimedhulumiwa kama Sasa. Nimetumia hela yangu kufanya kampeni halafu unapora ushindi wangu kibwege tu. Hata mtume ametuamrisha kupambana na dhuluma kwa jihadHukuandamana UKUTA, wala kwa Da'Mange kwa Lissu utajitokeza kweli?
Bado saa 30 j3 ifike, tuone kama utaweka ugoko mbele ya chuma.Oooh! Wakati ule sikuwa nimedhulumiwa kama Sasa. Nimetumia hela yangu kufanya kampeni halafu unapora ushindi wangu kibwege tu. Hata mtume ametuamrisha kupambana na dhuluma kwa jihad
ICC inamhusu Siro. Mnamponza baba wa watu. Ataacha familia yake.Bado saa 30 j3 ifike, tuone kama utaweka ugoko mbele ya chuma.
Kila saa ICC? Walee hawajihangaishi hadi waone mito ya damu. Sasa upo chumbani unafikiri ICC watajihangaisha.ICC inamhusu Siro. Mnamponza baba wa watu. Ataacha familia yake
Huu wizi uliratibiwa na intelligence officers (TISS).Mbona karatasi za kura zilizagaa mpaka zikawa zinatumika kufungia maandazi.
Basi bongo tuna intelijensia ya kibwege kweli kweli! Kama wanaweza kufanya wizi wa kizembe hivi!!? Basi huko wamejaa UVCCM ambao kwa asili ni mbumbumbu.Huu wizi uliratibiwa na intelligence officers (TISS).
nec hii hii ambayo Mbowe na halima wamekuwa wabunge kwa mihula miwili au hamkumbuki hilo....kususia bunge la corona kumewaharibia sana makamanda!Huu wizi uliratibiwa na intelligence officers (TISS).
Hawa waliruhusu begi moja or so likamatwe ili ‘walinda kura’ wawe macho kuhakikisha kura haziingi ndani kutokea nje. Kumbe wizi wenyewe ulikuwa unafanyika ndani
Wale maafisa wa muda wa NEC ndio waliokuwa wanapiga kura za ziada ndani. Bahati nzuri/mbaya walikuwa na namba za wote waliojiandikisha na ilikuwa rahisi tu kutupigia kura sisi tulio busy humu ila kwenda kupiga kura hatutaki.
Bottom line: Kwa NEC hii, hakuna haja ya kushiriki uchaguzi mwingine
Kwa Hiyo wakiandamana watu yakatokea mauaji Sirro inaweza kumkuta ICC?Kila saa ICC? Walee hawajihangaishi hadi waone mito ya damu. Sasa upo chumbani unafikiri ICC watajihangaisha.
Mbona kama ulitakiwa kuwa na jibu la swali lako.Kwa Hiyo wakiandamana watu yakatokea mauaji Sirro inaweza kumkuta ICC?
Kuandaa maandamano ni fani kunahitaji mipango madhubuti, hata kama una ajenda muhimu huwezi kukurupuka na kutangaza leo au kesho kuna maandamano, Seif alikuwa na ajenda lakini hakuwa na mipango madhubuti aliongozwa na mihemuko, hasira na jazba.
Wataalamu wa mipango ya maandamano wanasema ili maandamano yafanikiwe kuna hatua muhimu lazima zizingatiwe.
- Lazima kuwe na sababu (issue) inayogusa jamii. Unaweza kutangaza maandamano ukakuta watu hawana interest nayo.
- Chagua ‘theme’ kauli mbiu itakayokuwa common kwa wote itakayotoa hamasa mfano, uonevu sasa basi au wimbo wa ujasiri.
- Toa taarifa kwa taasisi za misaada kama Red Cross na andaa utaratibu wa misaada ya haraka kwa waandamanaji watakaozidiwa wakati wa maandamano mfano maji na huduma ya kwanza.
- Tayarisha eneo mwafaka destination la kutolea matamko yako (open space, ofisi za serikali, nk) usitoe matamko ofisini kwako.
- Alika ‘known public speakers’ watakaotoa hotuba fupi fupi zisizochosha mfano viongozi wa dini, wasanii nk.
- Andaa mziki na wasanii watakaoburudisha.
- Andaa shelters mahema, jukwaa kama kuna ulazima.
- Andaa mabango yenye kuvutia na kufikisha ujumbe mfupi (inclusive) usibague kundi lolote la jamii.
- Kama lazima pata vibali au toa taarifa kwa mamlaka husika.
- Alika vyombo vya habari vya ndani na vya nje ikiwezekana vipe taarifa mapema kwa simu ama maandishi, email nk.
- Tumia mitandao ya kijamii kama Twitter, Facebook, Instagram, You Tube nk kuhamasisha watu.
- Ijulishe jamii ya kimataifa, mashirika ya haki za binadamu na marafiki kusudio lako la kufanya maandamano ya amani ukinukuu vifungu vya sheria vinavyo kusapoti.
- Mwisho kabisa hakikisha wafuasi na waandamanaji hawavunji sheria wala kufanya fujo.
Nauliza maana nimeambiwa Siro hawezi kushtakiwa ICC?Mbona kama ulitakiwa kuwa na jibu la swali lako.