Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Nenda Savannah pale siku ya Alhamis utawaona tu! Kunywa beer za kigeni na penda kuongea kiinglish ...watakuja tu unajichagulia
duu, kazi mnayo.
Nenda Savannah pale siku ya Alhamis utawaona tu! Kunywa beer za kigeni na penda kuongea kiinglish ...watakuja tu unajichagulia
Nenda Savannah pale siku ya Alhamis utawaona tu! Kunywa beer za kigeni na penda kuongea kiinglish ...watakuja tu unajichagulia
duu, kazi mnayo.
Nyamayao! Hii ni kweli, ukionekana unafakamia safari na muda mwingi unaongea kikwere/kisukuma unaonekana wakuja mjini.....usiache kuweka fungio za gari mezani hata kama huna gari.....
yaani nimecheka mpaka bac, masanilo umenivunja mbavu walaah, kumbe mnapataga shida hivyo?
Nyamayao! Hii ni kweli, ukionekana unafakamia safari na muda mwingi unaongea kikwere/kisukuma unaonekana wakuja mjini.....usiache kuweka fungio za gari mezani hata kama huna gari.....
Usisahau na li-blackberry hata kama la kichina.
Jamani hebu naombeni namba ya simu ya huyo binti na mimi nijifaidie. Mh! ila sina umaarufu wowote sijui kama atanikubali ila pesa nnazo.
Usisahau na li-blackberry hata kama la kichina.
Kuna mwenzie pia wanamuita khad... Wo wo wo,yeye alijiita khadija wa d,banj,baada ya jamaa kuja kupafom hapo bongo nafikiri alimparamia huyo mama maana alimwaga adivertise kuubwa kama jamaa(d,banj)kafika bei.kumbe jamaa alionja tu,wiki ya pili jamaa aliporudi kwao 9ja katangaza uchumba kwa demu mwingine kabisa mpopo mwenzie,huyu dada yetu hapa kabaki kutoa mimacho kama mjusi.
Mambo ya ma-opportunistsbabukijana,
Kwani alikwambia kwamba anataka kuolewa na huyo Dbanj? Yeye alitaka kurekodi tu kwamba kashawahi kulambwa na Dbanj basi. Ni sawa na wewe leo hii akija Mariah Carey hapa Bongo ukapata zali la mentali ''a one night stand'' ndio utang'ang'ania kutangaza ndoa?
Tehe tehe tehe! Unaweza na kuongezea na uraia wa kigeni, yaani hata kama ukisema wewe ni raia wa Zambia, Malawi au Botswana, basi chati yako inakuwa juu ukilinganishwa na Mtanzania!
At the end of the day, wao wanapata wanachokitaka, pesa na matanuzi, na wewe unapata unachokitaka, NGONO ZEMBE! No commitments, no missed calls, no strings attached and life goes on!
Nyamayao mbona unacheka sana? Ni Masanilo tu!