Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Hivi hawa mademu kuna mtu anakuwa anawauza ama vipi? Nimekuwa nikiona ma supastaa wengi toka nje wakija bongo wanakuwa wanajiachia na mademu hawa hawa tu.
Is it that they know how to position themselves strategically or kuna wajanja mjini wanaowaleta hawa wasanii ( e.g. kina Joseph Kusaga) wanawauza hawa mabinti???
Mtu ambaye sikumwona kajiachia na mademu wa kibongo ni 50 Cent tu!!
Hebu tuambiane wakuu, ili kama hii biashara inalipa na mimi ni invest kwenye hii kitu!!
Is it that they know how to position themselves strategically or kuna wajanja mjini wanaowaleta hawa wasanii ( e.g. kina Joseph Kusaga) wanawauza hawa mabinti???
Mtu ambaye sikumwona kajiachia na mademu wa kibongo ni 50 Cent tu!!
Hebu tuambiane wakuu, ili kama hii biashara inalipa na mimi ni invest kwenye hii kitu!!