Gordita
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 11,579
- 55,632
Akuuuhhh....Kwanini jamani?
Cc. ukhuty njoo umchukue rogie wako huku

Akuuuhhh....Kwanini jamani?

HahahhahahHaha naona@Rogie anaitumia kunifanyia fitina kwako
Mmh! HayaKweli vile. Naanzaje kubanana na mkeo wakati hela huna. Ni wanawake wachache sana wanadate waume za watu kwa mapenzi. Sasa asione anashobokewa akajua anapendwa inapendwa pochi tu hapo


Kuna kamsemo kananifikirishaga sana...
"Kutotembea na mtu wa mtu ukitegemea na wako asitembelewe ni sawa na kutegemea simba asikukule ww kwasababu ww hauumli yeye"
hahahaaliefikiria na kukaleta haka kamsemo Mungu anamuona aiseee
![]()
kamenipa moto hata yale mawazo mazuri yamegeuka sasaHahaha![]()
![]()
![]()
kamenipa moto hata yale mawazo mazuri yamegeuka sasa


unaona ss..Kweli vile. Naanzaje kubanana na mkeo wakati hela huna. Ni wanawake wachache sana wanadate waume za watu kwa mapenzi. Sasa asione anashobokewa akajua anapendwa inapendwa pochi tu hapo
Sio mbaya kama nyapu anatoa hela inatafutwa tuAyaaa kamata mwizi meeenAkuuuhhh....
Cc. ukhuty njoo umchukue rogie wako huku
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Mi nakwambia@Rogie sio mtu mzuri usimsikilizeKwakweli Mshipa nimeanza kushtukia![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
unanipetipeti huku unafikiria na miaka 30
![]()
![]()
![]()
![]()
huko usinipeleke siobpazuri aiseeHahahaunaona ss..
ila hapana nimefikiria kuhusu magonjwa asee hapanaSimsikilizi tena huyu rogieMi nakwambia@Rogie sio mtu mzuri usimsikilize