Kutamaniwa na wanawake kwa mwanaume anapooa

Kutamaniwa na wanawake kwa mwanaume anapooa

KUNA MMOJA ALIJILENGESHA NIKA MPOPOA, akaanza mizinga niazime pesa nna shida,,

nkamwambia siko poa kwa sababu jana tu nimempa wife ameenda msibani kwao,,

alinijibu ivi :- SASA SHIDA ZA MKEO MIE ZINA NIHUSU NN?

Baada ya hapo nikamkatia simu, kwa hasira ela nlo baki nayo nikamtumia wife yoteeeeeeee , hadi wife kashangaa,, anahoji mme mbona umenitumia pesa nyingine? nkamwambia wee kaa nazo tu mke,, ikibidi nenda na shopping,,

tunapata majaribu sana wanaume

 
Back
Top Bottom