Kutamaniwa na wanawake kwa mwanaume anapooa

Kutamaniwa na wanawake kwa mwanaume anapooa

Ni aina ya kukaribishwa wewe si umejitangaza unagegeda na wanajua kwa hiyo wanaamini unajua ndo maana ukaoa

Ni mtonyo ukizubaa unagegeda balaa
Aliyeimba "Vipo vya kushea lakini sio mapenzi" alikosea sana. Mapenzi ndio watu wanashea kuliko kingine chochote, we ona mastaa wa kibongo wanavyoshea papuchi na dushelele mpaka aibu
 
Kabla hujaoa, utahangaika sana huku na kule kupata mwanamke wa kukuliwaza ila ukioa tu utashangaa wake wa majirani zako wanaanza kukuletea mapozi, hata vidada mtaani vinakuwa vinajilengesha tu.

Au ndo tunakuwa watamu tukioa?
Ukweli mtupu
 
Back
Top Bottom