Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,821
Heri yako ww, ila inabidi hata boyfriend pia uogopeHakuna kitu naogopa kama mume wa mtu ruwaaaa ntameza mate ila sitajilengesha aseee (lakini sio boyfriend)
Heri yako ww, ila inabidi hata boyfriend pia uogopeHakuna kitu naogopa kama mume wa mtu ruwaaaa ntameza mate ila sitajilengesha aseee (lakini sio boyfriend)
Haiwezekani![]()
![]()
![]()
Mkuu usimuogopeshe Sina madhara
Hahaha kwahyo unakubaliana nae asiwe mchoyo eeh!!
uchoyo sio mzuri kabisaNtajitahidi mkuuHeri yako ww, ila inabidi hata boyfriend pia uogope
Hata usisikize maneno yakeMshipa huyu hapana namuonaga onaga
Ngoja nilete posa
uwiii posa tena???Jamani jakitoo usisikilize maneno ya watu wanatugombanisha ujueMshipa huyu hapana namuonaga onaga
Jamani jakitoo usisikilize maneno ya watu wanatugombanisha ujue
Maneno ya watu sumu
Namsikiliza kaka rogie![]()
![]()
uwiii posa tena???
Hapana ukumbuke miaka 30 ya kulee usije ukababuseya
aisee siaminiKama umeweza kuogopa mume wa mtu boyfriend huta shindwa, jitahidi...ili na wako aogopewe pia, japo kuna nanii hahahaNtajitahidi mkuu
Kweliii me nakuonea huruma hapa, kule sio pazuri ooohhooo![]()
![]()
aisee siamini

Daah nimefanyiwa fitina za waziwazi. Ngoja nitaongea na mods nibadilishe username![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Maneno ya watu sumu
![]()
![]()
Namsikiliza kaka rogie
Usiwasikilize hao hawapendi tuwe pamojaSimsikizi hata kidogo![]()
![]()
![]()
Ngoja na mm nijipange kuwaga dyudyu hadi watulize mapepeSafi sana nimekuelewa, uchoyo sio mzuri kabisa na naamini wewe sio mchoyo
