mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,354
- 23,084
![]()
ila hapana nimefikiria kuhusu magonjwa asee hapana
utaletewa humo humo ndani![]()
ila hapana nimefikiria kuhusu magonjwa asee hapana
utaletewa humo humo ndaniSimsikilizi tena huyu rogie


kwakweli maana alitakana kuniharibia@RogieUkisema unaokoka it means ndo umetangaza vita na shetana sas ukioa ndo umetutangazia kuwa kuna hidden treasure lazima tutaman kuijua
aiseeHapa Sasa tumemfunga mdomo RogieSikupeleki bana![]()
![]()
![]()
![]()
Usiogope
Kuna aliyeniambia kama wewe hivi. Ni wewe Nini? Hebu nitafute basi weekend hii twende yale maeneo yetu.Kizuri kugawana bana sio kula mmoja mmoja,Mume wa mtu mtamuu,Mkiwa singo hamuwi watamu sana
Bora tu tukulane tutajua huko mbele ya hukumu lolKuna kamsemo kananifikirishaga sana...
"Kutotembea na mtu wa mtu ukitegemea na wako asitembelewe ni sawa na kutegemea simba asikukule ww kwasababu ww hauumli yeye"
hahahaaliefikiria na kukaleta haka kamsemo Mungu anamuona aiseee
![]()
Kuna aliyeniambia kama wewe hivi. Ni wewe Nini? Hebu nitafute basi weekend hii twende yale maeneo yetu.
Mshipa ile ahad yetu ukumbuke sawa nakuona tu unanyemelea walioolewa ama ndo kusuuza rungu la kipepe?Njoo huku nikupetipeti![]()
![]()
![]()
You are not serious, are you!?Bora tu tukulane tutajua huko mbele ya hukumu lol






Akija atatukuta tumepatana atapita kimyakimya![]()
![]()
![]()
![]()
akija hapa sasa
Ukioa sasa si ndo utaanza kunyemelewa labda uoe kimya kimya jirani wasikuskieNgoja nioe niondokane na hii adha aki
Ahadi ipo palepale ngoja kwaresma iisheMshipa ile ahad yetu ukumbuke sawa nakuona tu unanyemelea walioolewa ama ndo kusuuza rungu la kipepe?