Nafikiri ni kulingana na kada husika...
Mfano Masuala ya Sheria, Biashara,Economics,Siasa...UDSM iko vizuri.....upande wa Engineering na kada kama hizo.wana wapinzani wazuri tu.....
Masuala Ya Utabibu ...MUHAS
Masuala ya Ardhi na Biashara zote za ardhi...etc ARU
Kilimo....SUA
Etc....
Nafikiri si sawa kugeneralize..lkn pia umashuhuri wa UDSM unatokana na historia husika kama state university lkn pia baadhi ya kada zake zinalenda zaidi na zinatoa watawala , wanasiasa etc..watu wa-public..kelele nyingi sana ..
Wakati vyuo vingine vinatoa watu watendaji mfani Madaktari....Watu kutoka Ardhi,SUA..etc watu kutoka hivi vyuo kwa asili ya taaluma zao huwezi wakuta kwenye majukwaa..na hata kutambua kuwa wamesoma kitu fulani ni ngumu mpaka siku uhitaji msaada wake..
Lkn pia kwa miaka ya sasa na jinsi inavyoenda hali iko tofauti sana kuna vyuo vingi sana ambavyo sasa vinatoa wataalumu wa taaluma za watu wa majukwaa na kypiga kelele na kutambulika mfano UDOM,SAUT etc..
Yajayo yanafurahisha