Kusoma UDSM ni dhamana

Kusoma UDSM ni dhamana

Nafikiri ni kulingana na kada husika...
Mfano Masuala ya Sheria, Biashara,Economics,Siasa...UDSM iko vizuri.....upande wa Engineering na kada kama hizo.wana wapinzani wazuri tu.....
Masuala Ya Utabibu ...MUHAS
Masuala ya Ardhi na Biashara zote za ardhi...etc ARU
Kilimo....SUA
Etc....
Nafikiri si sawa kugeneralize..lkn pia umashuhuri wa UDSM unatokana na historia husika kama state university lkn pia baadhi ya kada zake zinalenda zaidi na zinatoa watawala , wanasiasa etc..watu wa-public..kelele nyingi sana ..
Wakati vyuo vingine vinatoa watu watendaji mfani Madaktari....Watu kutoka Ardhi,SUA..etc watu kutoka hivi vyuo kwa asili ya taaluma zao huwezi wakuta kwenye majukwaa..na hata kutambua kuwa wamesoma kitu fulani ni ngumu mpaka siku uhitaji msaada wake..
Lkn pia kwa miaka ya sasa na jinsi inavyoenda hali iko tofauti sana kuna vyuo vingi sana ambavyo sasa vinatoa wataalumu wa taaluma za watu wa majukwaa na kypiga kelele na kutambulika mfano UDOM,SAUT etc..
Yajayo yanafurahisha
 
Waliosoma UDSM ndo wametufikisha hapa tulipo, kuanzia viongozi na wafanyakazi wengi wamesoma hapo na hawajaonesha kulipeleka taifa mbele. So sioni mchango wowote wa chuo hicho kikongwe
 
Dogo mmoja alipomaliza form six akamweleza mzazi wake amechaguliwa chuo flan tofauti na udsm. Hahahaha mzazi akamwambia mwanae hongera mwanangu na ukazane kusoma hadi utakuja fika udsm
 
Ukitaka kumtawala mtu yoyote basi wewe mpe elimu duni, na haya ndiyo matokeo yake


Pole sana, elimu duni kwa nani sasa. Au hao wa Udsm wanaojitapa kila mahali Mkuu. Hivi unadhani wana-udsm ni mapopoma kiasi hicho. Wengi wanaufaulu wa kutisha, huko wenye divisheni za tatu, nne na tano wapo wa kumwaga. Hata wanaochagua vyuo vingine wakiwa na ufaulu mkubwa ni kutokana na ukosefu wa kozi wanazozipenda.
 
Safi. Tutasomaga huko, MUNGU akipenda, acha kwanza tuhangaike na Amazon mara moja.
 
Kwa style hii ya maisha watanzania tutatawalia na wajinga hadi akili itukae sawa. Yaan mtu anasoma sociology kisa udsm anajilinganisha na mtu anaesoma DIT elictrical? Yaan mtu kasoma HKL uko advance anajilinganisha na PCM ambae alipata matokeo mazur na kuamua kusoma kozi nyingne anayoipenda yeye amabayo haipo udsm? Kweli ujinga mzigo
 
nonsense tunachofanya nikinyume na tunachotakiwa kufanya serikali inavyuo vikuu kibao tuu badala ya kuboresha hali za hivyo vyuo vyake ktk kila nyanja imekaaa ikikikweza UDSM whats about UDOM SUA MZUMBE eti hadi mkuu wa nchi nae hiki ndo chuo bora wahitimu mchague hiki sasa tufunge vyuo vingine maana mnatuambia havitoi elimu sasa vya nini
 
Dogo mmoja alipomaliza form six akamweleza mzazi wake amechaguliwa chuo flan tofauti na udsm. Hahahaha mzazi akamwambia mwanae hongera mwanangu na ukazane kusoma hadi utakuja fika udsm
Daaa we muongo asee ha ha ha
 
mbona sijawasikia watu wakisifia shule zao za advance au sekondari kwamba ndo bora kuliko zingine tumekalia UDSM maharaagweee!!!!!!
 
Kuna wengine wanaenda kusoma udsm kisa tu alikuwa hapajui Dar, ushamba mzigo! Kama ni course ambazo zipo MUST mbeya and UD why not MUST


Kweli kabisa lakini wewe unayepajua Dar inashangaza na ujanja wako kupitwa kiufaulu na mtu kutoka Kakonko huko. Hakuna tuition center, hakuna internet cafe lakini mtu ananyuka Misonge ya kutosha wewe unabaki kulia lia hapo na ujanja wako. Jiulize kwa nini asilimia kubwa ya wenye uchumi mzuri katika jiji la Dar ni watu kutoka Mkoani. Afu useme nani mshamba
 
Back
Top Bottom