Kusoma UDSM ni dhamana

Kusoma UDSM ni dhamana

UDSM ndo nembo ya Taifa letu,kubari au usikubari lakini huo ndo ukweli.

Napakubari sana KILIMANI.
 
Nilienda kufanya field sehemu fulani walikuwa wananiita 'Yule kijana wa chuo kikuu'. Tulikuwa pale na vijana kutoka vyuo vingine lakini walikuwa wanaitwa kwa majina yao.
Ha ha ha hilo jina Mwl nyerere alipenda sana kulitumia
 
kiukweli udsm ni patamu sana..hata mtu utoke na gpa ya 2 utalamba shavu tu.


Mimi siwakubali kabisa hao watu. Mtaani majivuno mengi. Hata uwe na pesa hawakuheshimu hao jamaa
 
Sijasoma content, maana heading tu ni pure arrogance, sasa ulitaka watu wakasome kozi kama Architecture na udaktari UDSM? Fala kweli we jamaa.., vilaza kibao toka UDSM tunawabebesha mafaili huku kitaa, mjinga sana wewe, tena futa liuzi lako.., stupid


Haahahh! Bebesha hao mafala wenzako huko, huwez nibebesha faili kilaza Kama wewe. Usilolijua litakusumbua.
 
Back
Top Bottom