Hiyo shahada umeitunza wapi? Au unaongelea makaratasi uliyopewa baada ya miaka mitatu au minne?Mimi mwenyewe ni graduate ila kitendo cha kuto graduate UDSM shahada yangu naona haina maana jamani
Wamekiharibu siku hizi aisee nasikia mixer hadi sociology wakat kipind tunasoma pale tulikuwa tunajiona watu vibaya mnoSinawahi JUTIA kusoma Ardhi University
Unaajiri wakati wewe mwenyewe umeajiriwa hicho ndo kituko chenyewe sasaWenye raha ni sisi ambao hatujasomea UDSM lakini tunaajiri na kuwatuma waliosoma hapo