Kusikiliza simu ya kazi

Kusikiliza simu ya kazi

umeambiwa utapigiwa simu na sio kutembea nayo huko chooni ukiipaka mavi inakuwaje
 
Mfano umepeleka barua kwenye interview ukaitwa ukafanya alafu ukaambiwa utapigiwa simu...

Unatakiwa kufanyaje ili kupotezea mimi naenda na simu Hadi chooni sasa

Imekaaje hii
Siku utakapoiacha ndio utakuta missed calls za kutosha..
Hiyo line ya kazini itafutie kiswaswadu kiwe kinashinda mfukoni.
 
Mfano umepeleka barua kwenye interview ukaitwa ukafanya alafu ukaambiwa utapigiwa simu...

Unatakiwa kufanyaje ili kupotezea mimi naenda na simu Hadi chooni sasa

Imekaaje hii
Unemployment can make anyone feel useless in their family. I pray for you now, may God bless you with a permanent job in September. Claim it.
 
Kawaida Sana hiyo mkuu,cha kusikitisha siku ukiwa mbali na simu Kwa dakika kadhaa tu unakuta missed call halafu Wewe hauna option ya kuwapigia🤓🤓🤓🤓
 
Nilikuta missed call ,kupiga simu haitoki , nilisikitika sana , naendelea na uafisa usafirishaji sasa
 
Mwajiri siriazi hata usipompokea ukimpigia atakupa kazi.



Muhimu, ukipiga simu yoyote salimia Kisha jitambulishe na kuomba upande wa pili ujitambulishe.




Ova.
 
Kwa uzoefu wangu soon panelist wanavomaliza kuwainterview candidates huwa wanakuwa na top 3 list kuanzia the mostly preference to the 3rd.

The first choice anakuwa contacted within 3 days kwa ajili ya kuanza negotiations nk. Nyie wengine mnawekwa reserve endapo the 1st choice atapiga chini offer ndio mtakuwa plan b and c.

So my friend, ukiona imepita wiki kimya sikilizia ustaarabu mungine
 
Back
Top Bottom