SteveJr99
Senior Member
- May 13, 2019
- 109
- 230
Habari zenu wanaJF. Natumai wote ni wazima.
Mara kadhaa nimejikuta nashtuka usiku wa saa 7 au saa 8 usiku na usingizi kukata kabisa, inaweza kunichukua hata lisaa kupata usingizi tena.
Nimejaribu kuuliza hiki kitu kwa watu wa karibu wengine wanasema ni stress za maisha, wengine sina ela ntafute ela, wengine presha lakini me binafsi sina stress na kiafya hata kiuchumi niko vizuri.
Shida itakua nini sasa na kwa nini hii hali hutokea yani kwa mwezi lazima inikute mara 4 au 5 kwa wenye kujua hii hali tujuzane tafadhali.
Mara kadhaa nimejikuta nashtuka usiku wa saa 7 au saa 8 usiku na usingizi kukata kabisa, inaweza kunichukua hata lisaa kupata usingizi tena.
Nimejaribu kuuliza hiki kitu kwa watu wa karibu wengine wanasema ni stress za maisha, wengine sina ela ntafute ela, wengine presha lakini me binafsi sina stress na kiafya hata kiuchumi niko vizuri.
Shida itakua nini sasa na kwa nini hii hali hutokea yani kwa mwezi lazima inikute mara 4 au 5 kwa wenye kujua hii hali tujuzane tafadhali.