Kushiriki chakula na familia: Ushauri kutoka kwa Teamo

Ili tukuamini, yatupasa tukutane leo tujadili! Sababu nyingine ya kutokula wali na watoto leo usiku.
mimi nimesha kula home mara nne zaid AND YOU KNOW IT....!

leo na kuendelea niko safe
 
Habari zenu binafsi?!....

Awali ya yote napenda sana kumshukuru sana MAANANI,kwani ni yeye pekee anaetuweka mimi na wewe DUNIANI.Natumia Fursa hii adimu kuwashukuru sana wetu mimi na wewe WAZAZI,kwa kazi ngumu ya kutuleta sisi DUNIANI

STRAIGHT KWENYE HOJA:
TEAMO anawashauri wakina baba wenye familia zenu kujijengea tabia ya KUSHIRIKI chakula cha pamoja na FAMILIA walau mara nne kwa wiki (MSISITIZO:walau mara nne kwa wiki).Wikileaks imegundua kwamba manung'uniko ya hapa na pale ya WAKE ZETU yanachangiwa sana na ''ushiriki finyu'' wa chakula cha pamoja na familia.

TEAMO anawapenda sana na anazijali sana ndoa zenu ndio maana anasema kupunguza kutokuelewana kwa hapa na pale katika familia tujaribu kushiriki pamoja na mama na watoto walau hata DINNER tatu kwa wiki na LUNCH moja weekend.

TEAMO anaamini kwamba wakati mwingine MAPENZI NA FAMILIA ZETU huamshwa na kuanzia mezani.kwa kufanya hivi tutajipunguzia possibilities za kujilimbikizia infiiz ''unnecessarily''.Tutawafanya wake zetu kuwa MIPANGO YOTE,yaani mpango mzima na mpango wa kando anakuwa yeye mwenyewe...

TEAMO IS STANDING TO BE CORRECTED

Yours' Sincerely,
TEAMO aka BABA G
Ni siri ya ndoa za wazai wetu kudumu kwa miongo kadhaa sasa...
 
MSISITIZO:nimesema walau mara kadhaa kwa wiki SIJASEMA KILA SIKU...!

unaweza niona kila siku kibira SAWA lakini kuna siku ambazo nitaenda home kukaa na familia kidogo walau for dinner
 
mimi nimesha kula home mara nne zaid AND YOU KNOW IT....!

leo na kuendelea niko safe

hahahahahaha....dah

Jasiri haachi asili....LEO hakuna kukutana.

Leo ni famili eating tugeza day.....ngoja nimkol mai waifu aongeze shea.
 
jamani jamani mbona mnapingana na ukweli?


Ukweli wa kuwahi home mara moja kwa miezi mitatu au??? Kingstar, zero pub, oceanic bay huwa unatafuta nini huko kila siku??? Na umewahi kurudi home mapema lini?? Acha kuzuga watu hapa
 
MSISITIZO:nimesema walau mara kadhaa kwa wiki SIJASEMA KILA SIKU...!

unaweza niona kila siku kibira SAWA lakini kuna siku ambazo nitaenda home kukaa na familia kidogo walau for dinner

Hiyo famili iiting tugeza...tunavoachana saa sita almost kila siku wanakuwa wanakusubiri? Unaitesa familia yako asee.
 
Sasa we unajua sijatia msosi na Matesha yapata siku tano.

Ikifika saa moja unanipigia unanambia 'njoo hapa King Star bana'
Kesho ananipigia mutu ya Kongo papaa Kasibeti,
Kesho kutwa napewa salamu za Emmy na B_E, na kama unavyojua Emmy hana simu...
Siku inayofuata DEUSI ananiambia kuna bia mbili zinanisubiri
Siku nyingine sababu ya wapwa kumsalimia Eliza pale JJ
Then kuna kamati ndogo inahitaji ulezi wangu
Siku nyingine Kiu inanishinda
Zimebaki siku ngapi hapo kwa wiki?

Kaka ufahamu upo kwamba sababu haiwezikosekana nenda kote lakini jitahidi kuondoka mapema kuwahi dinner wewe utaona ni kitu kidogo lakini kinamaana kubwa sana.
 
hahahahahaha....dah

Jasiri haachi asili....LEO hakuna kukutana.

Leo ni famili eating tugeza day.....ngoja nimkol mai waifu aongeze shea.
sasa usipokutana na wapwaaz leo sijui utatumia kifungu gani cha sheria kujidifend,adhawais ukubali kwamba umeplan tofauti kidogo....so far leo ni FURAHI DAY
 
Ili tukuamini, yatupasa tukutane leo tujadili! Sababu nyingine ya kutokula wali na watoto leo usiku.
teh teh teh hommie hapa umenifanya nicheke kwa sauti....unajua bado natafakuru huu msemo, bia na mshahara kipi kitamu!!
 
Ukweli wa kuwahi home mara moja kwa miezi mitatu au??? Kingstar, zero pub, oceanic bay huwa unatafuta nini huko kila siku??? Na umewahi kurudi home mapema lini?? Acha kuzuga watu hapa
Wewe dena unanifahamu kwa level gani hadin uwe na uthubutu wa kuyaandika uliyoyaandika?
 
Kaka ufahamu upo kwamba sababu haiwezikosekana nenda kote lakini jitahidi kuondoka mapema kuwahi dinner wewe utaona ni kitu kidogo lakini kinamaana kubwa sana.
aisee dadaake mimi jaribu kuwapa exiperience hawa vijana wa mujini hawa wanaoshinda kwenye mabaa hadi saa kumi alfajiri
 
Kaka ufahamu upo kwamba sababu haiwezikosekana nenda kote lakini jitahidi kuondoka mapema kuwahi dinner wewe utaona ni kitu kidogo lakini kinamaana kubwa sana.

My dear dada....ukutane na Teamo mnakula biya....mkiwahi sana, Mungu awabariki ni saa sita....hapo ndo ukale na watoto?
 
Wewe dena unanifahamu kwa level gani hadin uwe na uthubutu wa kuyaandika uliyoyaandika?

Teamo hebu andika kiswahili sanifu mie kiswahili feki sikifahamu pole weweeeeee. Mie namfahamu B_E peke yake wewe nooooo
 
teh teh teh hommie hapa umenifanya nicheke kwa sauti....unajua bado natafakuru huu msemo, bia na mshahara kipi kitamu!!

Kwa mujibu wa Generation Y.... bia inaongoza kwa 8 bila.

Sababu kuu iliyopiga tatu kwa mpigo:

Kadiri unavotoa biya kwenye friji ndo zinazidi kuwa tamu, kadiri unavyotoa mshahara kwenye ATM uchungu unaongezeka.
 
Habari zenu binafsi?!....

Awali ya yote napenda sana kumshukuru sana MAANANI,kwani ni yeye pekee anaetuweka mimi na wewe DUNIANI.Natumia Fursa hii adimu kuwashukuru sana wetu mimi na wewe WAZAZI,kwa kazi ngumu ya kutuleta sisi DUNIANI

STRAIGHT KWENYE HOJA:
TEAMO anawashauri wakina baba wenye familia zenu kujijengea tabia ya KUSHIRIKI chakula cha pamoja na FAMILIA walau mara nne kwa wiki (MSISITIZO:walau mara nne kwa wiki).Wikileaks imegundua kwamba manung'uniko ya hapa na pale ya WAKE ZETU yanachangiwa sana na ''ushiriki finyu'' wa chakula cha pamoja na familia.

TEAMO anawapenda sana na anazijali sana ndoa zenu ndio maana anasema kupunguza kutokuelewana kwa hapa na pale katika familia tujaribu kushiriki pamoja na mama na watoto walau hata DINNER tatu kwa wiki na LUNCH moja weekend.

TEAMO anaamini kwamba wakati mwingine MAPENZI NA FAMILIA ZETU huamshwa na kuanzia mezani.kwa kufanya hivi tutajipunguzia possibilities za kujilimbikizia infiiz ''unnecessarily''.Tutawafanya wake zetu kuwa MIPANGO YOTE,yaani mpango mzima na mpango wa kando anakuwa yeye mwenyewe...

TEAMO IS STANDING TO BE CORRECTED

Yours' Sincerely,
TEAMO aka BABA G

Great thought,,blessings
 
My dear dada....ukutane na Teamo mnakula biya....mkiwahi sana, Mungu awabariki ni saa sita....hapo ndo ukale na watoto?
ahahahahah!
we unanifananisha na deus

lakini pia kuna siku ambazo we can extend a bash.....!haitakaa iwe the whole week NO
 
Teamo hebu andika kiswahili sanifu mie kiswahili feki sikifahamu pole weweeeeee. Mie namfahamu B_E peke yake wewe nooooo
SASA kama hunifahamu,then how do you knw my timetable?
 
Back
Top Bottom