Kushindwa kwa Heche kuongoza BAVICHA

Kushindwa kwa Heche kuongoza BAVICHA

TUNTEMEKE,

Huwa napingana sana na wewe ka hoja za kuhit persola zaidi lakini kwa hili nasema nipo pamoja na wewe hizi Organsations za CHASO zipo hoi sana kwnye vyuo ni kama vile hawan miongiozo zinajiendesha kwa uatashi watu binafsi ni vema kukawa na mapango endelevu wa kuzitambua na kuziwezesha kimikakati ili ziwe chanzo cha viongozi hodari hapo baadaye.

Hili la kuwanyima MIC naweza kulisema ni jambo la kujipanaga kama vinajan wanalao jambo ambalo wanataka kuliongea sidhani kama HENCHE anaweza kuwazuia na hata kama akiwazuia wanaweza kupeleka malalamiko yao mahali panapo husika.

Mwisho TUMTEMEKE jaribu kwa ukaribu wako wa chama kuwasaidia hao wanaonyimwa fursa jinsi ya kuadress changamoto zao mbele ya viongozi wetu tuliowachangua kuliko kujakilalamika hapa as if wewe si miongoni mwa wanachadema, Naamini kama utakuwa na ujasiri wa kuongea na viongozi wako face bt face matokeo ya lalama zako hapa zitapatiwa ufumbuzi.

View attachment 71793View attachment 71794kwanza HECHE huwa si MC wa mikutano anawezaje kukunyima MIC? halafu angalia kama CHASO na viongozi wa vijijini ni wapi wa muhimu kwa upungufu wa muda na haraka ya kuwahisha mabadiliko kuwatarget zaidi?
zaidi hii picha inaonesha pia mikutano ya chaso so kauli ya CHASSO haina mashiko pia HECHE ndiye kiongozi wa kwanza kuzindua tawi la CHADEMA chuo kikuu SAUT mwaka 2006 ikumbukwe
 
hutaki mambo ya chadema yawe wazi?ndo demokrasia hiyo bwana

Nataka yawe wazi zaidi ndio maana nimependekeza jukwaa la Chadema ili washabiki, wanachama na hata wapinzani wa CHADEMA wawe na uwanja huru wa kujadili mambo ya Chadema kwa uwazi. Na wala sio mambo ya Heche na BAVICHA peke yake walete utumbo wote wa CHADEMA waumwage huko ili watu waone. Huku kwenye jukwaa la jumla la siasa wapenzi wa CCM na wa CHADEMA wanaishia kutukanana tu na mwisho wa siku hakuna chochote kinachopatikana.
 
hebu kaoge ukaklale utupishe wenye hoja tujadili.hivi wwe humuoni heche kila siku yuko mikoani?juzjuzi tuu haopa alikuwa akiwanadi wagombea udiwani kabkla ya hapo alikuwa sumbawanga akiandaa njia ya kuchukua jimbo .sijui matamko gani aliyoyatoa unayoyazungumzia wewe ukiachilia mbali ule upuuzi wa shibuda.hata kama umetumwa au humpendi heche tafuta hoja za maana za kumkosoa sio upuuzi kama huu.
 
Wakuu leo nakuja na mtazamo tofauti juu ya uwezo mdogo unaoonyeshwa na bwana Heche katika kusukuma mbele ajenda za chama na kuimarisha chama kupitia chombo hiki maalumu cha vijana ndani ya chama


Kwa mtazamo wangu Mh. Heche ameshindwa kuwa na ushawishi hasa zaidi kutumia na kuunganisha vijana wengi ambao wameonyesha matumaini na chama hasa wale walioko kwenye taasisi za vyuo na mashule.
Mh Heche amekuwa mtu wa kukaa ofisini tu na kutoa matamko mengi hasa yakiwa ya kwake binasfi na sio maoni ya vijana.

Mh Heche akili yake yote ipo kwenye kupambana na Mwita Mwikabe kwenye ubunge jimbo la Tarime na sio kusimamia baraza la vijana

Mh Heche kama kiongozi wa vijana asipo badilika na kutumika kwa maslahi ya chama na sio yake binafsi tutarajie BAVICHA dhaifu hasa katika kupambana na nguvu mpya ya CCM.

Nawasilisha

Mkuu hapo kwenye red unaonyesha ni kwa namna gani una chuki binafsi na John Heche au una lako jambo. Hoja kama hizi uwa zinasababisha CHADEMA na wanachama wake waonekane kama watu wasiotaka kushaurika na kushauriwa. Hivi ni nani asiyejua kuwa John Heche ndio kiongozi wa chama anayefanya ziara nyingi mikoani mpaka vijijini? Nenda kaulize data pale ofisi ya BAVICHA upewe orodha ya maeneo ambayo John Heche kazunguka hapa nchini. Kiribia kila siku yupo kwenye maeneo ya mapambano, halafu wewe unakuja na hoja kuwa anakaa ofisini. Nadhani ungetafuta jambo lingine kwa hilo umeandika upuuzi.
 
Mkuu tafuta kazi ya kufanya.Huu ujinga wa kuwa na ID feki zaidi ya kumi hautakusaidia wewe wala hilo kundi lako la kitapeli.
Mnachokijua ni kukimbilia Facebook kila siku na kuwatukana matusi ya nguoni viongozi wakuu wa CDM.Adui yenu mnayemjua ni Mbowe,Dr Slaa na Heche.Mbinu zenu kamwe hazitafanikiwa.
Umeona yale majungu uliyoleta dhidi ya Mbowe hapa jamvini umepuuzwa leo ukaibuka na majungu dhidi ya Heche na kesho utamuibukia Dr Slaa.Pole sana.
nadhani hasira imekwisha baada ya kuwa umeandika hayo. sasa nakuomba ili umkomeshe huyo mleta thred ujinga wake ainisha strength za heche mpaka sasa katika position hiyo na siyo na wewe kuonyesha ujinga uleule. nadhani utakuwa umemziba mdomo la sivyo tutaona wote ni walewale.
 
Hicho kidole chako cha chuma kikugeuki kwa nyuma kwa kutugombanisha na viongozi wetu
 
nadhani hasira imekwisha baada ya kuwa umeandika hayo. sasa nakuomba ili umkomeshe huyo mleta thred ujinga wake ainisha strength za heche mpaka sasa katika position hiyo na siyo na wewe kuonyesha ujinga uleule. nadhani utakuwa umemziba mdomo la sivyo tutaona wote ni walewale.

Safi buberwaaa
 
Wegesa charles
tuntemeke huna jipya kuhusu heche.

Tangu nimeanza kusoma thread zako zinazozungumzia bavicha ama kumtaja heche mwenyewe muda wote umejitahidi kuonyesha kwamba heche hajafanya kitu wala si msaada wowote kwa chama. Nataka nikuthibitishie kwamba miongoni mwa vijana wenye uwezo mkubwa sana wa kuzungumza na audience basi heche ni mmoja wao ndani ya chadema na hata nje ya chadema.

Mara kadhaa nimewahi kuwa nae katika jukwaa moja katika mikutano ,mbalimbali ya wazi(hadhara) na mikutano ya ndani. Usijaribu kudanganya watu heche ni namba nyingine kabisa, hata kama sikufahamu lakini kwakuwa unajiita kijana wa chadema sina sababu ya kutoamini kwamba huwezi kujilinganisha na heche, amekuacha mbali sana kisiasa, ni vizuri kuukubali huo ukweli ili ujipange na kutafuta namna ya kufikia ngazi ya juu ya uongozi kuliko kutumia style ya majungu na uzushi.

Kwa mfano hilo la kutumia jina la kaka yake ni uzushi mwingine uliamua kuja nao, nadhani jk aliwalenga watu kama wewe, nawe una kiwanda cha uongo, unaachia mmoja baada ya mwingine kadri unavyojisikia. Kama kitu hukijui ni muhimu kuuliza ili uelezwe kuliko kujidhalilisha kwa maneno ya kutunga. Kama kweli una uhakika kwamba yeye si john bali kaka yake ndiye john, basi ungetueleza yeye jina lake ni nani na huyo kaka yake yuko wapi na anafanya nini.

John heche suguta aligombea udiwani kata ya tarime mjini katika uchaguzi mdogo wa mwaka 2008 na kumshinda vibaya mjomba wangu peter zakaria wa ccm, wakati huo akisoma saint augustine university(saut) mwanza, tena akiwa darasa moja na mpwa wangu halafu leo kiwanda cha uongo cha tuntemeke kinafyatua uongo hapa eti anatumia jina la kaka yake na kwamba hajawahi kukanyaga chuo kikuu? Hii comment yako imeonyesha kiwango chako cha juu cha uongo, uzushi, husda na wivu.
 
John Heche -------Wegesa CHARLES

Huu ndio utetezi wako? ilikuwaje sasa akaitwa John Heche? na John Heche mwenyewe yuko wapi? kama hujui kitu ni vizuri kuuliza ukaelimishwa kuliko hivi ujavyojidhalilisha.
Unawafahamu ndugu zake na Heche wewe au umesimuliwa? Unamfahamu Manchare Heche Suguta wa NEMC? Ushawahi kujiuliza ana undugu gani na John Heche (Wegesa Charles kama unavyotaka iwe)?
 
Tuntemeke= aliyegombea ubunge mbeya mbozi mashariki kupitia CDM na kwa bahati mbaya akauza jimbo kwa CCM.
 
Kwanza napenda kusikitika hatua ya baraza la vijala la chadema kuwafukuza akina shonza na wenzie.. Wenyewe wanadhan hapo wameshamaliza kazi... kitendo walichokifanya bavicha ni sawa na kukata matawi na si mzizi .Ieleweke wazi hawa kina shonza wamezalishwa na system ndan ya chama.. BAVICHA NA CDM tatizo linaikabili chama hiko si usaliti ni SYSTEM ya uongozi na kitendo walichokifanya ni sawa na kula nyama ya mtu dhambi haitaisha cdm mpaka pale system ikibadilishwa
 
Back
Top Bottom