Kurunzi
Platinum Member
- Jul 31, 2009
- 10,175
- 11,572
wanachadema wenzangu sasa ni wakati wa kutafakari bavicha ni taasisi iliyo zaidi ya mtu heche tumempa nafsi asukume mbele gurudumu la bavicha anaposhindwa hatumsemi kama heche ila kama m/kiti wa chama hivyo uzi wangu haujamlenga heche personal ila kama mkuu wa tasisi yetu muhimu if he cnt deliver he should resign leo tunasema ccm inashindwa kwa kuwa na uongozi dhaifu tukiona wa kwetu nao dhaifu tuseme tusiwe waoga wa kusema ukweli
Ndugu inawezeka kunaukweli uyasemayo lakini naomba nipinagane na wewe kidogo hapo kwa ungeweka majukumu na malengo ya BAVICHA waliojiwekea na ambayo chini ya Henche walisema watataka kutatimiza kwa nuda fulani na ukisha ya waka hapa then huainishe yapa ambayo wameshindwa nafikiri hapo tutakuwa na mahali pa kuanzia.
Jambo la pili BAVICHA siyo HENCHE ingwa ni mwenyekiti hawezi akafanya mambo kwa utashi wake tu bila kukubaliana na wenzake ndiyo maana hatujaisika viongozi wengine wenzake wa BAVICHA wakilalamika kwenye vyombo husika tumesikia malalmiko vyombo vya habari au hata social media peke yake ndiyo maana watu walimuona ni mtu wa ajabu na hawafai kumsaidia mwenyekiti kwani naamini wanayo mahali wanaweza kupeleka malalamiko yao kuanzia kwwnye vikao na kwa ngazi ya uongozi taifa, Bianafsi napata picha kuwa wanaolalamika aidha hawawezi kwenda na kasi ya HENCHE ya utendaji so wanajikuta wapo nyuma ya matukio hivyo kujiona wanapitwa na wakati.
Tunajua yeye kama Mk anamapungufu yake kama binadamu lakini kuwa ameshindwa kabisa hiyo nasema hapana, Na mtu yeyote anayejua uongozi wa siasa hawezi kumlinganisha utendaji wa Henche na Mnyika kiala mtu anauwezo na karama yake naamini Henche na Mnyika wapo karibu sana kama kuna lolote natumaini busara za Mnyika na wengine pale Chadema watasaidia.
Mwisho tupunguze majungu tujenge chama badala ya kuja na uzi kama huu ningekushauri unge kuja kwa staili kama hii "MAMBO HAYA NI MUHIMU ILI BAVIVICHA ISONGE MBELE" and so on hapo ningekuheshimu ingawa nakueshimu.