Magwangala
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 2,981
- 2,359
Ni wewe na kundi lako mlioshindwa uchaguzi pamoja na viongozi wachache kama Juliana Shonza ndio mnaendekeza makundi!
Pro-Chadema wakati mwingine mnachekeshana eti Heche anajaza watu kuzidi JK..ha haa haaa.
Kijana wa kiume acha umbeya utavalishwa kanga.
Nadhani bila kusahau shanga za kiunoni.....mtu mzima hovyo sana.kwa mtazamo wangu [COLOR=#ff0000 said:mh heche[/COLOR] ameshindwa kuwa na ushawishi hasa zaidi kutumia na kuunganisha vijana wengi ambao wameonyesha matumaini na chama hasa wale walioko kwenye taasisi za vyuo na mashule.
Gombea wewe hiyo nafasi muda ukifika wa uchaguzi, tuone utakachofanya kuimarisha BAVICHAnatoa maoni yangu kama mwanachadema heche yupo busy kutaka kumharibia mandevu mwita akili yake haiwazi zaidi ya ubunge
amekosa mbinu mbadala za kuimarisha bavicha
naikumbuka bavicha ya mh mnyika
VP Bashe na Shigela waliweza kuongoza UVCCM? Hebu toa maoni yako pia!!!Taingia Heche achaguliwe Bavicha kaishatoa matamko zaidi ya 20 ambayo hayana tija yeyote. Kimsingi Heche kashindwa kuwaongoza vijana.
Hakuna makundi CDM, hayo yapo kwako CCM hata JK amekiri kushamiri kwa makundi hayo.Kumbe Chadema nako kuna makundi.
Wewe na ritz mnatumika vibaya kama dume k......m
Kama mleta mada angekuwa ni mwana Chadema wa kweli na ana mapenzi ya dhati na Chama chake, basi thread yake lazima ingekuwa kwamba Bawacha wameshindwa kuwashawishi Wanawake kuiunga mkono Chadema na Ivunjwe mara moja.
Lakini kwakuwa mleta mada anatumia tumbo kufikiri badala ya Ubongo amejifanya kipofu kwa kutokuona kwamba Bavicha iko strong chini ya Heche na Heche anafanya mikutano mingi Vijijini na siyo kukaa ofisini.
Ndio maana hamu ya kuwa Mwanachama wa chama cha siasa inanitoka maana siwezi kuvumilia kukaa na watu wenye njaa kama hawa meza moja. hawa ni wale ambao wamekosa fursa za ulaji CCM sasa wakadhani Chadema watapata fursa hizo matokeo yake ni kupiga filimbi za majungu tu.
mtasugua sana visigino kwa umbea wenu umetumwa na kina zzk na kundilake
wewe na ritz mnatumika vibaya kama dume k......m
Huna haja ya kutumia ID tofauti tofauti kwenye thread yako mwenyewe.
Bavicha inakuhusu nini wewe mfuasi mwaminifu, mjinga na mwehu wa CCM?Taingia Heche achaguliwe Bavicha kaishatoa matamko zaidi ya 20 ambayo hayana tija yeyote. Kimsingi Heche kashindwa kuwaongoza vijana.