Kushindwa kwa Heche kuongoza BAVICHA

Kushindwa kwa Heche kuongoza BAVICHA

Kwanza napenda kusikitika hatua ya baraza la vijala la chadema kuwafukuza akina shonza na wenzie.. Wenyewe wanadhan hapo wameshamaliza kazi... kitendo walichokifanya bavicha ni sawa na kukata matawi na si mzizi .Ieleweke wazi hawa kina shonza wamezalishwa na system ndan ya chama.. BAVICHA NA CDM tatizo linaikabili chama hiko si usaliti ni SYSTEM ya uongozi na kitendo walichokifanya ni sawa na kula nyama ya mtu dhambi haitaisha cdm mpaka pale system ikibadilishwa
aisee hebu fafanua ni mfumo gani huo unaouzungumzia?
 
dah eti haya ndo maoni ya mmoja wa viongozi wa cdm,tatizo uchaga na ukanda ndio unapelekea kuwa na watu kama hawa

ukiambiwa uthibitishe kama Molemo ni kiongozi wa chadema utaweza au utaambulia Ban tu..na je mchango wa Molemo nayule shoga wenu nani na anaongea utumbo..kwanini swala la masalia kuwafukuza chadema liwaumawa sana
 
Wakuu leo nakuja na mtazamo tofauti juu ya uwezo mdogo unaoonyeshwa na bwana Heche katika kusukuma mbele ajenda za chama na kuimarisha chama kupitia chombo hiki maalumu cha vijana ndani ya chama


Kwa mtazamo wangu Mh. Heche ameshindwa kuwa na ushawishi hasa zaidi kutumia na kuunganisha vijana wengi ambao wameonyesha matumaini na chama hasa wale walioko kwenye taasisi za vyuo na mashule.
Mh Heche amekuwa mtu wa kukaa ofisini tu na kutoa matamko mengi hasa yakiwa ya kwake binasfi na sio maoni ya vijana.

Mh Heche akili yake yote ipo kwenye kupambana na Mwita Mwikabe kwenye ubunge jimbo la Tarime na sio kusimamia baraza la vijana

Mh Heche kama kiongozi wa vijana asipo badilika na kutumika kwa maslahi ya chama na sio yake binafsi tutarajie BAVICHA dhaifu hasa katika kupambana na nguvu mpya ya CCM.

Nawasilisha.......

Amesimamia BAVICHA sawa sawa mfn kudeal na wasaliti wanaotukana viongozi na kutoa matamko ya kutumia BAVICHA.

HECHE AMEUNGANISAHA NA ANAENDELEA kuunganisha vijani , ameenda DIT, MZUMBE SAUT nk unataka aende au aunganishe nyie magamba na wasaliti wa CHAMA.

Pili inaonekana hutoi hoja bali una chuki na Heche tu, kwenye red.
Last toa hoja acha matusi
 
Napata shida sana kuwaelewa hawa MASALIA, pamoja na ushahidi wote unaonesha utendaji wa Heche, bado wanang'ang'ania kupinga tu... Hawa watu ni WACHAWI (Wachawi huwa hawapendi maendeleo rather wanapenda umaskini na hali duni, kinyume cha MAENDELEO). Sasa mod thread kama hizo zipotezee pls....
 
Kuwafukuza nyie tulitegemea iwe hivyo na matusi mnayo yatumia na mtakayo yatumia tunayajua hivyo mko chini yetu tunawaweza na kuwamudu.

Na mchungu hayo yatachukua muda mrefu kuyasahau kwani mmefukuzwa chama makini sanaa na mnamakovu makubwa, kifupi mmewashwa sana umbea na unafiki natamaa uchoyo na usahaulifu ubinafsi ndio vilochangia nyie mtengwe na makamanda.

Maana Chadema haina umimi pumbavu zenu nyie mlio uzoea umasikin wa tz na mnaomba uendelee kwakua nyie mnakunywa maji spesho na mnapata kila kitu HECHE NI JFMBF.
 
Maajabu ya mwaka huu ni kuwa Bavicha imewafukuza vijana wake ambao ni "SAFI" sana,ila badala ya Chadema kuhudhunika kuwa imewapoteza vijana "safi na shupavu" ni CCM inayolalamika eti kwa nini wamefukuzwa? Eti kwa hili Chama kitayumba na wao wanahudhunika sana kwa hilo.
Ndio maana nasema haya ni maajabu ya aina yake na inaonyesha CCM ina "mapenzi ya dhati kwa Bavicha"
 
Pro-Chadema wakati mwingine mnachekeshana eti Heche anajaza watu kuzidi JK..ha haa haaa........

Mkuu Ritz ni kweli wewe ni mvivu wa kufikiria, lakini inatia shaka zaidi hata pale unapokuwa mvivu hata wa kupitia na kusikiliza mass medias.

Ni vyema ukakumbuka Mikutano ya Heche huwa inajaza sana vijana wapenda mabadiliko wanao hudhuria mikutano hiyo kwa ridhaa yao wenyewe.

Lakini mikutano mingi ya JK inajazwa na watoto wa primary na akina mama na wazee ambao husombwa kwenye maroli na kupewa buku buku. Nashukuru hata wewe hili unalifahamu ila unajitoa akili kwa mda.

Mkuu Ritz nimesikia nyepesi nyepesi mtaani kwetu ati Kikwete family mna mkakati wa kumkabidhi Mh. Membe urais kisha akimaliza mda wake nae akuachie?
 
Taingia Heche achaguliwe Bavicha kaishatoa matamko zaidi ya 20 ambayo hayana tija yeyote. Kimsingi Heche kashindwa kuwaongoza vijana......

Kwa vigezo vipi au job discription ipi uliyompatia Ritz?
 
Taingia Heche achaguliwe Bavicha kaishatoa matamko zaidi ya 20 ambayo hayana tija yeyote. Kimsingi Heche kashindwa kuwaongoza vijana.

wewe mambo ya chadema yanakuhusuje? na wewe ulishawahi kutoa tamko lipi lenye tija? Heche ni kiongozi shupavu mno nimemfuatilia sana akizunguka nchi nzima kukieneza chama akiwaungnisha vijana, nilimshuhudia akipiga kampeni za tija arumeru na kwingineko, leo unasema ameshindwa? Nahisi wewe na mleta mada mna mapungufu kwenye vichwa vyenu? Nilitarajia mngemshutumu makamu wake aliyeng;olewa kwa uzembe na usaliti mnakuja kulaumu hili jembe?? Jipangeni upya mnalipwa bure na Lumumba!!
 
attachment.php
[/QUO

Mkuu Ritz angalia wingi wa watu Hongera Heche
 
Wakuu leo nakuja na mtazamo tofauti juu ya uwezo mdogo unaoonyeshwa na bwana Heche katika kusukuma mbele ajenda za chama na kuimarisha chama kupitia chombo hiki maalumu cha vijana ndani ya chama


Kwa mtazamo wangu Mh. Heche ameshindwa kuwa na ushawishi hasa zaidi kutumia na kuunganisha vijana wengi ambao wameonyesha matumaini na chama hasa wale walioko kwenye taasisi za vyuo na mashule.
Mh Heche amekuwa mtu wa kukaa ofisini tu na kutoa matamko mengi hasa yakiwa ya kwake binasfi na sio maoni ya vijana.

Mh Heche akili yake yote ipo kwenye kupambana na Mwita Mwikabe kwenye ubunge jimbo la Tarime na sio kusimamia baraza la vijana

Mh Heche kama kiongozi wa vijana asipo badilika na kutumika kwa maslahi ya chama na sio yake binafsi tutarajie BAVICHA dhaifu hasa katika kupambana na nguvu mpya ya CCM.

Nawasilisha.........

Tatizo lenu mnaongozwa na njaa kuliko akili, unaposema amekaa ofisini una maana kuwa hiyo Ofisi iko Kageera, Rukwa Mwanza, Morogoro, na kote ambako M4C imefanyika ambako tumeshuhudia kazi kubwa inayofanywa na Heche pamoja na makamanda wanaofikiria maslahi ya NCHI, je, wewe ulitaka afanyeje labda?
 
maongezi yako mengi yamejaa feeelings kuliko hali halisi, ukitaka ukwakonvice watu unabidi uje na fact zilizo na uwazi kamili!!!
 
Back
Top Bottom