Kushinda kwenye PM

Kushinda kwenye PM

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,076
Reaction score
136,499
Kuna watu wanashangaza sana. Yaani mtu umejiweka invisible humu halafu huchangii kwa sana siku hizi lakini kila siku unashinda kwenye PM.....

Ama kweli facts sometimes are stranger than fiction.

Kila ukitokea mara chache chache watu wanakuuliza mbona umepotea hivyo....kumbe wapi! Upo kila siku lakini unashinda kwenye PM na yule nanii....:smile-big:

Kaazi kweli kweli.
 
dah hii thread yako utafanya wwatu wapate 'guilty conscious ' tele

kila mtu atajiuliza naongelewa mimi au? lol

kuna siku zamani hapa JF kuna mdada alinishindisha pm kutoka saa saba mchana hadi saa tatu usiku
yaani pm zake zinakuja tatu tatu duh lol
 
dah hii thread yako utafanya wwatu wapate 'guilty conscious ' tele

kila mtu atajiuliza naongelewa mimi au? lol

kuna siku zamani hapa JF kuna mdada alinishindisha pm kutoka saa saba mchana hadi saa tatu usiku
yaani pm zake zinakuja tatu tatu duh lol

Kuna mwingine huyo siku hizi anashinda sana PM na jamaa ambaye ana 'crush' naye tokea kitambo......

Watu wanadhani kapotea sana kumbe yupo.

Anamshindisha jamaa hadi usiku wa manane (maana wako mabara tofauti).

Yaani we acha tu.
 
Kwi kwi kwi kwi lol!!!!....ndio maraha ya JF hayo 🙂🙂



Kuna watu wanashangaza sana. Yaani mtu umejiweka invisible humu halafu huchangii kwa sana siku hizi lakini kila siku unashinda kwenye PM.....

Ama kweli facts sometimes are stranger than fiction.

Kila ukitokea mara chache chache watu wanakuuliza mbona umepotea hivyo....kumbe wapi! Upo kila siku lakini unashinda kwenye PM na yule nanii....:smile-big:

Kaazi kweli kweli.
 
Last edited by a moderator:
Kuna mwingine huyo siku hizi anashinda sana PM na jamaa ambaye ana 'crush' naye tokea kitambo......

Watu wanadhani kapotea sana kumbe yupo.

Anamshindisha jamaa hadi usiku wa manane (maana wako mabara tofauti).

Yaani we acha tu.


bora ukutane na mtu kwanza ndo mshinde pm
vingenevyo unaweza kukuta unashinda pm na imaginations zako tu lol
 
Kwi kwi kwi kwi lol!!!!....ndio maraha ya JF hayo 🙂🙂



Js on my feet, Js on my feet, so get like me.

 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
dah hii thread yako utafanya wwatu wapate 'guilty conscious ' tele

kila mtu atajiuliza naongelewa mimi au? lol

kuna siku zamani hapa JF kuna mdada alinishindisha pm kutoka saa saba mchana hadi saa tatu usiku
yaani pm zake zinakuja tatu tatu duh lol
mtoto alikudondokea huyo! usiseme tu huna bahati
 
mtoto alikudondokea huyo! usiseme tu huna bahati

halafu kila nikipanga kushinda na wewe PM
kuna kitu kinatokea nashindwa sijui why
nataka nikutafutie kazi ya kwenda kubebba box
halafu nikusindikize ikibidi....
 
Mi nawatangazia kabisa sitaki ma pm, mana mgumu wa kujibu.

Msije sema naringa, LOL
 
Sasa wewe hutaki majaribu!? usiyaogope majaribu banaa. Ukiona vipi vipi si unasepa zako tena bila kuaga.

mi naogopa pm sana
pm majaribu matupu!
 
... Aidha kushinda kwenye PM ni kudumisha mapenzi ya mbali kwa mbali!
 
Mara nyingine huwa nashindwa kuielewa JF...

Mbona PM yangu haijawahi kupata mgeni hata mmoja....

May be ni uvivu wangu...

But....Mtu mwingine kabisa, anaweza kujua kama Babu anashinda JF akishindia hamu??

Babu DC!!
 
Back
Top Bottom