Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,076
- 136,499
Kuna watu wanashangaza sana. Yaani mtu umejiweka invisible humu halafu huchangii kwa sana siku hizi lakini kila siku unashinda kwenye PM.....
Ama kweli facts sometimes are stranger than fiction.
Kila ukitokea mara chache chache watu wanakuuliza mbona umepotea hivyo....kumbe wapi! Upo kila siku lakini unashinda kwenye PM na yule nanii....:smile-big:
Kaazi kweli kweli.
Ama kweli facts sometimes are stranger than fiction.
Kila ukitokea mara chache chache watu wanakuuliza mbona umepotea hivyo....kumbe wapi! Upo kila siku lakini unashinda kwenye PM na yule nanii....:smile-big:
Kaazi kweli kweli.