Kushafanya mapenzi na mwanamke mara ngapi huwa unaacha kutumia condom?

Mungu ndo njia pekee yakumfnya mtu awe mbal na ukimwi na yeye ndo atakupa adhabu hiyo akitaka.coz ni vigum kukwepa kiukwel swala hili labda usijihush kabsa na mapenz japo napo utakua na matatizo.Hata ufnyej lazm uwe na mpenz au mke utaweka kitu gan usisalitiwe.Tena kwa ss watu kusalitiana ndo habar ya mjing magest yanajaa wake za watu n waume za watu.Condom haina maana yeyote kwny mahusiano ya kudum.Cha msingi nikua na mmoja atleast atakupunguzia uwezekan wakupata ngoma
 
duh! kama kweli sample ya vijana wasomi wa tz ndo hawa wa jf taifa litaangamia
ila msidanganye watu cz wengine wakisikia kitu hapa wanachukua hivyohivyo

NB. vyakuambiwa changanya na vya kwako

Kweli kabisa!!!! za mbayuwayu changanya na zako.
 
jipeni moyo tu!! ila ukishaupata huo ukimwi, hii mada hutapenda kuiona tena, wala yale matangazo ya Radioni au Tv au magazetini hutapenda kuyasikia, au kuyatazama au kuyasoma.

we fikiria kuwa tyr una ngoma na unatumia ARV'S then mara unaona tangazo ktk Tv kuwa, " ....It begins with you"
 
hata kama idadi yako ni moja je unafahamu idadi ya mwenzio..??
Aisee condom ni lazima..Ila ukiwa na kiu hasa ndio mzuka tayari...haipo Dahh .......me no more comment




Matumiz ya condom hutegemeana na idadi ya kukutana kimwili ns muda mkaao
 
hata kama idadi yako ni moja je unafahamu idadi ya mwenzio..??
Aisee condom ni lazima..Ila ukiwa na kiu hasa ndio mzuka tayari...haipo Dahh .......me no more comment

tunachoangalia ni ukikutana na mwenza itachukua muda gani kutumia condom kabla ya kuendelea kavu ... mfano ukiwa mnakutana kila siku au mara tatu kwa week uwezekano wa kutumia hata kwa week 2 inaweza kuwashinda .. ila ni rahisi kama mtakuwa mnakutana mara moja kwa week
 
Nielezen mfn unaish na mpenz wko sehem moja.Kusex inakua haipo kwny ratiba but mzuka ukiwepo mnadungana kama kawa.Labda chumba kizma kijae kondom labda mtakumbuka pia inatokana na situation ambayo inawapelekea kusex.Ila maninja wanapiga rafu sex na dem kumla kwa kuhofia hofia atapigwa na masela unatakiwa kumwandaa vya kutosha thn mpng ss mpk mje mvae kondom huhuhu n shida.
Kondom inakua inatumika kama una kipururu na umekata dem ambay humwelew.
 
Mimi ndio maana naogopa sana kutongoza tongoza ovyo kwasababu najijua mimi nimdhaifu sana kuivaa ile soxi ya kwenye utupu
 
Unapima virusi kwa kuhesabu umri wa kudo;
shauri zako.

Ahahahaha Mamndenyi hebu mwambie huyo, unaweza ukawafreshi ndio kwanza umetoka kwenye maganda ile siku ya mwanzo tu kufanya unangukia pua what a bad luck!! wenzako long time no see unajiuliza mbona fulani alikuwa muasherati lakini hakupata
 
Back
Top Bottom