Achana na startimes mimi kisembuzi changu cha startimes nilikitupa siku nyingi
Nani kasema kuwa ccm inasimamia zoezi? ile taarifa inayosomwa itv mnaona kama inaisifu ccm? au mlishawahi ona tez anaonyeshwa itv kwa dk2?
Achana na startimes mimi kisembuzi changu cha startimes nilikitupa siku nyingi
Nani kasema kuwa ccm inasimamia zoezi? ile taarifa inayosomwa itv mnaona kama inaisifu ccm? au mlishawahi ona tez anaonyeshwa itv kwa dk2?
Kwa muda wa zaidi ya wiki mbili kuna maeneo kadhaa hapa nchini pamoja na nyumbani kwangu, ambapo matangazo ya ITV & EATV (Startimes) yamekuwa yanakwama sana na kutoa picha mbaya na tena ni kuanzia saa 11 jioni hadi saa 5 usiku. Sasa ni hivi kwa upande wangu ninapoona matangazo ya ITV hayaonekani vizuri huwa ni bora nikazima TV kuliko kuangalia habari ya TBCCCM.
Nawasilisha wakuu.
KILAKA.
Vote viwili ni muhimuHapo unataka uelewekaje labda! kichwa cha habari na maelezo unayoyatoa ni tofauti kabisa! au ulikuwa unatakuwaambia wana jf wasitizame tbc au ulikuwa unataka kuwaambia kuwa wewe hauko ccm!?
Kwa muda wa zaidi ya wiki mbili kuna maeneo kadhaa hapa nchini pamoja na nyumbani kwangu, ambapo matangazo ya ITV & EATV (Startimes) yamekuwa yanakwama sana na kutoa picha mbaya na tena ni kuanzia saa 11 jioni hadi saa 5 usiku. Sasa ni hivi kwa upande wangu ninapoona matangazo ya ITV hayaonekani vizuri huwa ni bora nikazima TV kuliko kuangalia habari ya TBCCCM.
Nawasilisha wakuu.
KILAKA.
Hawa startimes wana nia ovu ..!
Hapo unataka uelewekaje labda! kichwa cha habari na maelezo unayoyatoa ni tofauti kabisa! au ulikuwa unatakuwaambia wana jf wasitizame tbc au ulikuwa unataka kuwaambia kuwa wewe hauko ccm!?
Kama unaweza badili king'amuzi mkuu.Weka Dstv au azam utakuwa umetatua tatizo hao Startimes wasikunyanyase wakati pesa unayo.
![]()
Karibuni huku hutokaa ujutie katika maisha yako yote hapa duniani ukiwa ndani ya azam tv