i never forget my friends.....i never forgive my enemies.........
You had better changed the last statement unless you don't want to be forgiven by God.
It's written,...
For if you forgive people their trespasses
[their reckless and willful sins, leaving them, letting them go, and giving up resentment],
your heavenly Father will also forgive you. Matthew 6: 14
Anyway,tumeamrishwa kusamehe mara moja pale tunapokosewa (ni amri)
Lakini haijaandikwa popote pale kwenye bible kwamba ukisha msamehe mtu
basi ni lazima umuamini,au umruhusu akuumize tena.
Samehe right away,usisubiri kuombwa msamaha.
Ni kazi ya aliye kukosea kukufanya umuamini tena.
Kwa mfano,nimetapeliwa na mshirika wangu kwenye biashara,nitamsamehe.
Akiomba msamaha,nitamwambia nimesha kusamehe toka zamani.
Lakini,sijaamrishwa popote kwamba niendelee kushiriki nae kwenye biashara,
kuendelea kushiriki nae ita maanisha namuamini bado,au kama simuamini basi
namruhusu aniumize tena.
Katika hali ya kibinadamu ni vigumu kusahau,lakini jitahidi kuomba ili usahau.God is faithful.
Lakini pia,ili usahau jitahidi kumpenda uliye kosana nae.
Upendo huondoa maumivu yote,huondoa uoga.
After all,utapata thawabu kwa Mungu ukimpenda uliyekosana nae.
(soma wafilipi2:1-2)
Ingawa hapo juu nimesema unaweza kuchagua kukaa nae mbali
ili asikuumize tena,hiyo ni option ya mwisho kabisa.
Kumbuka kwamba maisha ni "kujifunza jinsi ya kupenda",....life is all about learning to love.
(Unajifunza ili ukaoneshe wapi upendo wako,hilo ni somo lingine kubwa tu.)
Muumba wako anataka uthamini mahusiano yako na ndugu na marafiki wako wa kiroho
kwanza na kimwili pia.
Utapata thawabu kama utafanya juhudi kuwaleta karibu na wewe wale wote ulio kosana nao
kuliko kusamehe na kumtupilia mbali uliye kosana nae.
Chukua mfano wa Mungu,.....
ukiomba msamaha,ingawa utaendelea kumkosea hakuachi upotee.
Kwa manufaa zaidi,jitahidi usome kwa makini na uelewa haya:-
Then Peter came up to Him and said, Lord,
how many times may my brother sin against me and I forgive him and let it go?
[As many as] up to seven times? Jesus answered him, I tell you, not up to seven times, but seventy times seven!
Matthew 18: 21-22