Clear37
Senior Member
- Oct 25, 2023
- 102
- 145
Habari Zenu wanajamii,hope mmenusurika na mafuriko,pole Kwa waathiriwa wote.Moja Kwa Moja kwenye mada,katika maisha yetu ya mahusiano asilimia kubwa tumeshakumbana na usaliti Yani kusalitiwa na wenza wetu,awe mume/mke au mchumba tu.Mbaya zaidi Kuna wanaoamua kusamehe na maisha yanaendelea.Kitu kibaya zaidi ni kuwa kumbukumbu za kusalitiwa Huwa hazifutiki haraka katika ubongo wa mwathiriwa hata kama ameamua kusamehe.Hasa tukizingatia tendon lenyewe la usaliti Huwa linaumiza sana.Kuna wanaoamua kusamehe Kwa sababu mbalimbali mfano kulea watoto pamoja hasa waliokwenye ndoa na wakazaa pamoja,wengine husamehe Kwa kuzidiwa nguvu ya upendo Kwa msaliti(kufa kuoza😎).Swali langu ni hili unawezaje kusahau tukio la kusalitiwa kirahisi?Mimi siwezi.Karibuni