Kusaga aonjesha ujio wa station mpya ya redio 103.3 Dar

STUNTER

JF-Expert Member
Dec 15, 2015
13,077
17,208
Station mpya ya redio imetua jijini Dar es Salaam.
Inapatikana kwenye masafa ya 103.3 (zamani
yalikuwa yakitumiwa na BBC). Kwa mujibu wa poster iliyowekwa na Mkurugenzi
Mtendaji wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga,
station hiyo inaonekana kuwa ya muziki peke yake
na tayari imepewa sifa za kuwa ‘Africa’s Number 1
Hits Station.’ Ni wazi kuwa inamilikiwa na kampuni
hiyo ambayo hadi sasa ina redio mbili, Clouds FM na Choice FM. Bado haijajulikana itatumia jina gani. Kwa sasa inapiga muziki peke yake.
source: Bongo5
 
Nikikumbuka choice FM ya kipindi kile ni tofauti kabisa na ya sasa.
Zamani ilikuwa inapiga nyimbo kali za MAMTONI mpaka hutamani kutoka nje Lakini alivyokuja Vanessa mdee ndio kaiharibu kabisaa.
Choice FM ya sasa inapiga mpaka Taarab!
Choice FM ya sasa inapiga visingeli
Choice FM ya sasa imepoteza mvuto
Namkumbuka sana BABY CABAYE NA EVANCE BUKUKU sijui wapo wapi now
Choice FM ya 102.6 ni tofauti na choice FM ya 102.5 DAMN !!
 
Nikikumbuka choice FM ya kipindi kile ni tofauti kabisa na ya sasa.
Zamani ilikuwa inapiga nyimbo kali za MAMTONI mpaka hutamani kutoka nje Lakini alivyokuja Vanessa mdee ndio kaiharibu kabisaa.
Choice FM ya sasa inapiga mpaka Taarab!
Choice FM ya sasa inapiga visingeli
Choice FM ya sasa imepoteza mvuto
Namkumbuka sana BABY CABAYE NA EVANCE BUKUKU sijui wapo wapi now
baby kabae si ndio yupo upande wa tv!
asubuhi 360
 
Hawana biashara nyingine nao hawa, kila siku wanatufundisha fursa lkn wao wanabase upande wa redio tu
 
Station mpya ya redio imetua jijini Dar es Salaam.
Inapatikana kwenye masafa ya 103.3 (zamani
yalikuwa yakitumiwa na BBC). Kwa mujibu wa poster iliyowekwa na Mkurugenzi
Mtendaji wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga,
station hiyo inaonekana kuwa ya muziki peke yake
na tayari imepewa sifa za kuwa ‘Africa’s Number 1
Hits Station.’ Ni wazi kuwa inamilikiwa na kampuni
hiyo ambayo hadi sasa ina redio mbili, Clouds FM na Choice FM. Bado haijajulikana itatumia jina gani. Kwa sasa inapiga muziki peke yake.
source: Bongo5
Nina siku kama ya nne sasa BBC siipati. Ndio mkataba wao umeisha ama? By the way hiyo redio ina usikivu wa hali ya juu. Nadhani kwa usikivu its the best...
 
Back
Top Bottom