demokrasia
Member
- Apr 6, 2011
- 52
- 5
Hivi inawezekanaje mpenzi anakutamkia kuwa muachane halafu baada ya muda anarudi kwako na samahani kibao? Wana JF nipeni uzoefu wenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unajali demokrasia ni sawa,..maake nawe kuna siku utamwambia the same na kuomba mrudiane,...au unasemaje demokrasia
kurudiana kunategemea na uzito wa kosa lililowatenganisha,haiwezekani umemkamata mwenzio anacheat na akaadmit amecheat ni vigumu ukizingatia ulikuwa mwaminifu kwake it pains,and you dont know 4 how long he has been cheating you,at least umkamate anaattempt to sheat you can stop him/her but otherwise ni vigumu kurudiana halafu kwa mazingira ya sasa mapenzi ya kweli ni nadra sana zaidi watu wanataka sehemu ya kupumzikia tu kimaisha........ Nawasilishaaaaaaaaaaaaaaaa
Hivi inawezekanaje mpenzi anakutamkia kuwa muachane halafu baada ya muda anarudi kwako na samahani kibao? Wana JF nipeni uzoefu wenu.
Hivi inawezekanaje mpenzi anakutamkia kuwa muachane halafu baada ya muda anarudi kwako na samahani kibao? Wana JF nipeni uzoefu wenu.