Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,576
- 12,371
NakaziaCha kufanya mwanaume kama unaanza mahusiano na mtu basi Hakikisha humfichi tabia zako kama ni mtu wa kunywa na kuchelewa basi akujue mapema
Humpendi mke wako?Hii ni kasumba tutayokumbana nayo wanaume kwenye ndoa.
Ukiwa bachelor uhuru wa kurudi muda unaotaka , kukesha baa kuangalia mpira na kunywa bia, vyote hivi vinakuwa changamoto baada ya kuanza kuishi na mwanamke.
Hivi kwanini wanawake mnapenda wanaume turudi mapema?!
Maana hata ukirudi mapema kila siku, mbususu unapewa akijisikia.
wanawake kwa kifupi hawajui wanachokitaka,Hivi kwanini wanawake mnapenda wanaume turudi mapema?!
Hawaelewi hao, atasema atavumilia ila akishangiliwa ndani ya nyumba , anaanza masharti yakeCha kufanya mwanaume kama unaanza mahusiano na mtu basi Hakikisha humfichi tabia zako kama ni mtu wa kunywa na kuchelewa basi akujue mapema
vipi mwenzetu full kujiachia? au akirudi ndo anakutana na hussein machozi!Poleni Sana .
Upendo hauhusiani na kuwa huruHumpendi mke wako?
Bar tunapata madili ya biasharaNa kwanini ukae bar 24/7? Nyumba yako ni jehanamu au?
Jirani kashamsaidia Kazi.vipi mweznetu full kujiachia? au akirudi ndo anakutana na hussein machozi!