Michango mingine katika huu uzi!!!!! lol!!!!
Hhahahahahaha mie najichekea tu nirefushe maisha...
Last edited by a moderator:
Michango mingine katika huu uzi!!!!! lol!!!!
Hhahahahahaha mie najichekea tu nirefushe maisha...
Umeona eeh!!!! LoL!!!! Hahahahaha.....mzima lakini weye!?
Mzima sana nashkuru sana mungu kwa pumzi hizi za bure no malipo..m
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
mada ngumu sana...ila hamna kitu kibaya km kushindwa kumridhisha mwanamke kimapenzi
Nawapa pole sana wale wanawake ambao hawafiki kilele kweli wanakosa kitu kitaaam. Kwa me wanajua wenyewe inavyokuwa.