Kura zinavyohesabiwa Ghana

Kura zinavyohesabiwa Ghana

Kuna jamaa mmoja BBC World Service amesema uchaguzi wa Ghana unafuatilia utaratibu mpaka unaboa.

Yani yeye kama alishazoea chaguzi za Afrika makashkash mara watu wamepigwa Pemba, mara kiongozi kasutwa, mara kura zimeibiwa, mara wakaguzi wa nje wamepigwa mkwala.
 
Sijui umeyasahau ya ivory coast au hukuyasikia mpaka mabeberu wakawaingilia ili kuweka mambo km yanavyotakiwa.
Matatizo yapo lakini sio kama haya yaliyopo kusini ya Africa kaskazini na mashariki na central Africa... Kanda hizi nyingine zimezidi sana
 
Kuna jamaa mmoja BBC World Service amesema uchaguzi wa Ghana unafuatilia utaratibu mpaka unaboa.

Yani yeye kama alishazoea chaguzi za Afrika makashkash mara watu wamepigwa Pemba, mara kiongozi kasutwa, mara kura zimeibiwa, mara wakaguzi wa nje wamepigwa mkwala.
😁
 
Kuna jamaa mmoja BBC World Service amesema uchaguzi wa Ghana unafuatilia utaratibu mpaka unaboa.

Yani yeye kama alishazoea chaguzi za Afrika makashkash mara watu wamepigwa Pemba, mara kiongozi kasutwa, mara kura zimeibiwa, mara wakaguzi wa nje wamepigwa mkwala.
Alitaka apate habari ovu ya kuandika
 
Matatizo yapo lakini sio kama haya yaliyopo kusini ya Africa kaskazini na mashariki na central Africa... Kanda hizi nyingine zimezidi sana
Hizo Kanda ulizozitaja tunatofautiana mno kiutamadun kijiografia kiuchumi hata uzoefu wa kuandaa chaguz
 
Bila vita hatuwezi kufika huko, tukimwaga damu ndio tutajadili mustakabali wetu tukiwa na akili timamu “Democracy goes together with open and fair competition” tofauti na hapo bado viongozi hawatoheshimu wananchi wanaowaweka madarakani.
 
Hivi kumbe kwame na yeye alikuwa na utawala wa chuma ??!
In 1964, a constitutional amendment made Ghana a one-party state, with Nkrumah as president for lifeof both the nation and its party.[8] Nkrumah was deposed in 1966 by the National Liberation Councilwhich under the supervision of international financial institutions privatized many of the country's state corporations.[9] Nkrumah lived the rest of his life in Guinea, of which he was named honorary co-president.[10][7][11]
 
In 1964, a constitutional amendment made Ghana a one-party state, with Nkrumah as president for lifeof both the nation and its party.[8] Nkrumah was deposed in 1966 by the National Liberation Councilwhich under the supervision of international financial institutions privatized many of the country's state corporations.[9] Nkrumah lived the rest of his life in Guinea, of which he was named honorary co-president.[10][7][11]
Aisee Africa kweli Ni mtihani .. angalau wenzetu wameshatoka kwenye huo ukiritimba now wanaishi kwa kutambulika kuwa Ni jamii iliyosheheni ustaarabu
 
UCScreenshot20201208095955.png
 
Back
Top Bottom