Kura: Zilipendwa vs Seduce me

PIGA KURA: ZILIPENDWA V/S SEDUCE ME


  • Total voters
    118
Babu tulia, na wewe [HASHTAG]#zilipendwa[/HASHTAG]
Haya mambo ya vijana
 
Wanataja majina tu tena nyimbo nzima kwa mistari isiyo na vina [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kiukweli nafaham mziki na technicalities zake.... Isingekuwa mambo ya kilichotokea lakini bado pia...Zilipendwa ngoma Kali sana...hiyo ya Ali Kiba mfyuu
Najua mi muandishi mkubwa sana lakini.mambo ya kujifananisha yanampoteza ...sio.wimbo Wa Alikba ule

carnte himself
 
Vipi tena ile ya kusema vita haichagui silaha imeishia wapi?!

By the way nyimbo zote mbili ni kali sana
Muongo ule Wa Kiba...sio Kiba naemfahamu Mimi wimbo mbaya

carnte himself
 
Tulieni dawa iwaingie....alikiba kachapa bakora na imewaingia sawasawa
Labda bakora ya matusi ila kimuzik Mmmh...siamini kama kweli kaishiwa...mi siko team ...wimbo kama makimuga nk...bado anadhihirisha kufilisika aache kushindana

carnte himself
 
Zilipendwa

"ukijijua mchochezi...andaa mkojo"
 
Labda bakora ya matusi ila kimuzik Mmmh...siamini kama kweli kaishiwa...mi siko team ...wimbo kama makimuga nk...bado anadhihirisha kufilisika aache kushindana

carnte himself
Bakora zimeingia....chapa hapohapo ali waendelee kuweweseka
 
Vipi tena ile ya kusema vita haichagui silaha imeishia wapi?!

By the way nyimbo zote mbili ni kali sana
Hah hah hii ni sawa na barcelona walalamike kuwa kikosi chao majina makubwa ni messi na suarez tu ndo maana wamefungwa na madrid wenye ronaldo,modric,bale,casemiro,isco,benzima nk...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…