Akitangaza matokeo ya wagombea ubunge wa bunge la Afrika Mashariki Katibu wa bunge anasema kwamba kati ya kura 305 zilizopigwa kura 16 ziliharibika sawa na asilimia 6.2. Hivi inakuwaje wabunge wanakosea kupiga kura??
Kama kuandika jina au kutia vema (Tick) kunawashinda wataweza kweli kusoma yale mavitabu ya Bajeti Kuu ya serikali na kuinyambunyambua!! Kumbe kweli kujiunga na nchi nyingine za Afrika Mashariki ili kuunda shirikisho la Kisiasa, bado SANA!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.