Rugas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 1,048
- 196
wao wanakuja kila wakati kuchakachua maamuzi ya wenzao.. ndivyo ilivyokuwa hata wakati ule wakati DARUSO wamefanya hivi TAHLISO wanafanya vile.. yawezekana vyombo hivi viwili vina mitazamo yenye itikadi za kisiasa na hivyo kuwagawa wanafunzi wa elimu ya juu?
HAPO MKUU UMENENA...Siasa na njaa zinaleta shida kwenye umoja huu...Hii si mara ya kwanza viongozi kutofautiana.Baadae wenda tukawa na VYAMA VIWILI PINZANI...HAPO.