Tushawazoe sisiemu kwa matumizi mabaya,we angalia nyumba ya spika imetumia bil 1.5 wkt hata mil400 haifiki.
Hii imekaaje haya si matumizi makubwa mno kwa mujibu wa sheria mpya ya uchaguzi?
Tendwa anasemaje kwa hili.
Wajumbe CCM 1134.
Wajumbe CHADEMA 880.
U
Kashangae feri meli inaelea shilingi inazama! CCM ni Amani na utulivu, ukizingatia umoja wa kitaifa!!!! tuongee point muhimu za maendeleo ndio maana ya ushindani sio kashfa zisizomsadia mwananchi wa kawaida. Tusijenge chuki bila sababu.
Kuitetea CCM inahitaji uwe na akili ya maiti.
Mimi ninavyo jua mwizi kamwe huwa haachi hadi kuchomwa moto,na moto wa kisiasa ni kuwatoa CCM madarakani.Ni mimi na wewe mwana JF ndio tutakao wachoma moto hawa CCM kwa kutoa madarakani TUANZIENI ARUMERU MASHARIKI.
Pelekeni ulokeole wenu hai..wameru hawana muda na chadema
Hakika kuitetea CCM inahitaji uwe na akili ya maiti.