Kura za maoni: CCM Mil. 220. CHADEMA Mil. 6.2

EasyFit

JF-Expert Member
Jul 4, 2011
1,269
1,082
Hii imekaaje haya si matumizi makubwa mno kwa mujibu wa sheria mpya ya uchaguzi?
Tendwa anasemaje kwa hili.

Wajumbe CCM 1134.

Wajumbe CHADEMA 880.
 
Nimesema mara nyinyi hapa jamvini. Hakuna aliye CCM bila kufuata pesa. Chadema wamempata mjombea kwa TZS 6.2m wao TZS 220m!! Hii inaonyesha jinsi gani wanachama wa CCM wapo kwa ajili ya pesa tu. Nadhani idea ya Mbowe kukataa ruzuku ya serikali itasaidia sana kujenga vyama vyote vya siasa na kupata watu wenye mapenzi ya kweli katika vyama na siyo kufuata pesa
 
Yaani kupata mgombea tu ndo kiasi chote hicho cha pesa ama kweli tanzania mafisadi wanapeta na tusishangae mshahara wa mwezi huu kulipwa may maana makusanyo yote yanaenda kununua kura huko
 
Pamoja na zile alizohonga mzee wa mvi lazima ifike billion na bado wakamsimamisha aliyetoboa sikio
 
ccm kwa matumizi kiboko!hizo zingejenga bwawa la umwagiliaji kule arumeru
 
Tushawazoe sisiemu kwa matumizi mabaya,we angalia nyumba ya spika imetumia bil 1.5 wkt hata mil400 haifiki.
 
Tushawazoe sisiemu kwa matumizi mabaya,we angalia nyumba ya spika imetumia bil 1.5 wkt hata mil400 haifiki.

UNASHANGAA LEO WEWE ULIZALIWA WAPI WAKATI CCM ILIPOKUWA INAPWANYA MAPESA ENZI ZA CHAMA CHASHIKA HATAMU.uchaguzi wa kizota ghalama zake zilikuwa zinaweza kujenga secondari mia saba na labs zake lakini makada wakaona heri kuzitumia ktk uchaguzi kuliko elimu!
 
Hizi ni pesa zilizo kwenye vitabu je zisizo julikana ni ngapi achilia mbali zile za rushwa.
 
Pesa yote hii na ikamfanya bwana mkubwa akimbizwe hospital kulazwa..
 
Hii imekaaje haya si matumizi makubwa mno kwa mujibu wa sheria mpya ya uchaguzi?
Tendwa anasemaje kwa hili.

Wajumbe CCM 1134.

Wajumbe CHADEMA 880.

Nawashangaaga sana watu wa vijijini ambao wanavaa ma Tshirt and kapelo za chama cha mapinduzi. CCM na ya wenye fedha na siyo maskini. watu wanafikirikiri Kikwete akisema "Kidumu chama cha mapinduzi" wao wanajibu kidumu, na kina weneyewe, na wenyewe ndiyo sisi, pamoja na wewe. Ile sisi ina maana akina Chenge, EL, RA, JK, Membe, Nahodha, Mkono, Kilango, Makinda na wengine wa aina hiyo. Walalahoi wanaosema wenyewe ni sisi, wanajipendekeza tu, na mara nyingi thamani yao kubwa ni wakati wa uchaguzi kama huu wa Arumeru.
 
U
Kashangae feri meli inaelea shilingi inazama! CCM ni Amani na utulivu, ukizingatia umoja wa kitaifa!!!! tuongee point muhimu za maendeleo ndio maana ya ushindani sio kashfa zisizomsadia mwananchi wa kawaida. Tusijenge chuki bila sababu.
 
U
Kashangae feri meli inaelea shilingi inazama! CCM ni Amani na utulivu, ukizingatia umoja wa kitaifa!!!! tuongee point muhimu za maendeleo ndio maana ya ushindani sio kashfa zisizomsadia mwananchi wa kawaida. Tusijenge chuki bila sababu.

Pumbavu gamba mkubwa wewe..
 
Mimi ninavyo jua mwizi kamwe huwa haachi hadi kuchomwa moto,na moto wa kisiasa ni kuwatoa CCM madarakani.Ni mimi na wewe mwana JF ndio tutakao wachoma moto hawa CCM kwa kuwatoa madarakani TUANZIENI ARUMERU MASHARIKI.
 
Mimi ninavyo jua mwizi kamwe huwa haachi hadi kuchomwa moto,na moto wa kisiasa ni kuwatoa CCM madarakani.Ni mimi na wewe mwana JF ndio tutakao wachoma moto hawa CCM kwa kutoa madarakani TUANZIENI ARUMERU MASHARIKI.

Pelekeni ulokeole wenu hai..wameru hawana muda na chadema
 
Wana JF mimi naamini unafiki na uongo sio sifa nzuri, ukweli unatabia ya kujitokea juu ya uongo. Mimi ndiye mweka hazina wa CCM nawambien hatujatumia milion 220 kura za maoni. Hii nadhani ni matatizo ya macho ya MHE MBOWE labda aliacha miwani nyumbani million 22 anasoma 220.Na hizi ilikuwa nauli kwa wajumbe. Ukimpa kila mjumbe sh elfu kumi nauli yake tokea ngarenanyuki hivi kweli ni matumizi mabaya? Hivi kweli mara zote tunajisifu kwamba tupeni nchi tuboreshe maslahi ya watu tukimaanisha kumlipa kila mtu sitahili yake ku demonstrate kauli hizi kwenye cha ni kutokuwalipa wajumbe? Wana jf pigeni hesabu wajumbe 880 wakipewa elfu tano kila moja ni sawa na 4.4m na bado kukodi ukumbi, bado bodaboda, bado chakula, bado mafuta na nauli ya vipngozi wa chadema walioluja kura za maoni, bado garama za vikao vya kamati kuu. Nimeuliza kwa mjumbe mmoja aliye kwepo kato ya hao 880 akasema walipewa elfu 10 nao ukizidisha mara wajumbe niilioni nane nukta nane(8.8) ni kweli tumefila kutaja figure tu hata kama sip ya kweli? Mimi kama mweka hazina wa chama sioni ubaya kuwalipa wajumbe nauli zao na posho ya kikao na uwezo ukiruhusu natamani wajumbe jata walipwe zaidi per diem kabisa ndio kuongeza mzunguko wa pesa. Ni unafiki kusema kuwa ni haramu kuwalipa wajumbe wa chama changu elfu kumi halafu useme nikipata nchi notawalipa walimu marambili ya sasa nitawalipa posho madakitari mara tatu ya sasa. Stahili ya wajumbe wa chama ni hii na ya madaktari ni ya kutibu. Nachukia unafiki.
 
Back
Top Bottom