Wana JF mimi naamini unafiki na uongo sio sifa nzuri, ukweli unatabia ya kujitokea juu ya uongo. Mimi ndiye mweka hazina wa CCM nawambien hatujatumia milion 220 kura za maoni. Hii nadhani ni matatizo ya macho ya MHE MBOWE labda aliacha miwani nyumbani million 22 anasoma 220.Na hizi ilikuwa nauli kwa wajumbe. Ukimpa kila mjumbe sh elfu kumi nauli yake tokea ngarenanyuki hivi kweli ni matumizi mabaya? Hivi kweli mara zote tunajisifu kwamba tupeni nchi tuboreshe maslahi ya watu tukimaanisha kumlipa kila mtu sitahili yake ku demonstrate kauli hizi kwenye cha ni kutokuwalipa wajumbe? Wana jf pigeni hesabu wajumbe 880 wakipewa elfu tano kila moja ni sawa na 4.4m na bado kukodi ukumbi, bado bodaboda, bado chakula, bado mafuta na nauli ya vipngozi wa chadema walioluja kura za maoni, bado garama za vikao vya kamati kuu. Nimeuliza kwa mjumbe mmoja aliye kwepo kato ya hao 880 akasema walipewa elfu 10 nao ukizidisha mara wajumbe niilioni nane nukta nane(8.8) ni kweli tumefila kutaja figure tu hata kama sip ya kweli? Mimi kama mweka hazina wa chama sioni ubaya kuwalipa wajumbe nauli zao na posho ya kikao na uwezo ukiruhusu natamani wajumbe jata walipwe zaidi per diem kabisa ndio kuongeza mzunguko wa pesa. Ni unafiki kusema kuwa ni haramu kuwalipa wajumbe wa chama changu elfu kumi halafu useme nikipata nchi notawalipa walimu marambili ya sasa nitawalipa posho madakitari mara tatu ya sasa. Stahili ya wajumbe wa chama ni hii na ya madaktari ni ya kutibu. Nachukia unafiki.
wamjuaje mnafiki!mara nyingi CHADEMA wakisema jambo mnakurupuka kuleta uwongo wenu hatutaki umbeya wenu leta ushahidi so blabla .hv maji matitu mganga wa ccmagamba na madaktar walogoma upi astahili malipo bora?kwa unjaa wako n kher ulimpe maji matitu vinzur kuliko mwenye taaluma yake hasa.heshimun taaluma za wasomi acha na miujiza.unaleta kichefuchefu hapa, mkuu polis Bugurun anatumia gar ya hela nying huku wa chini yake wanalala kwenye mabati.je huo ndo utu?ganga njaa achana na wenye fikra CHADEMA ndo tegemeo letu vijana wa taifa la leo.upo mbali ungekuwa karibu yangu ningekutandika bakora ili iwe funzo kwa wezi wenzako.Mjumbe hajalalamika kuwa CHADEMA hawana lawama nyie waraf ndo upuuzi mtupu mnatuletea hapa .peleka upuuzi wako wa wenzio, hapa kwa waelewa hutaki upumbavu.ipo siku mtakuja lipa jasho mnyonyalo wa tz na hilo lazima litimie,cheka leo kesho utanuna tu.