Watu wanasikiliza clouds sana humu ndani....siamini!
Tendwa alishalikoroga maana asipopitishwa Sioi washili watakuwa na kila sababu ya kulalamika, haiwezekani wakasingiziwa kuua halafu mtoto wao asiteuliwe tena kwa mizengwe.CCM ufisadi mtupu na kwa kila kitu nchini, bureeeeeee kabisa!!!!!!
Haka ka CCM ya Kikwete ya nenda mbele hatua tatu rudi nyuma hatua sita ni uchuro mtupu wala hakuna kitu kwao pale Aremeru Mashariki.
Wao walie tu kwani Tendwa alishawafungisha mapeema BAO LA DHAHABU tangu wiki majuzi.
Hata Osama alikuwa anafuatiliwa na dunia nzima.Kwa nini tunawafuatilia sana kwa kila wafanyacho kama tunadhani wao ni dhaifu??
sasa.... unaweza kuaminiWatu wanasikiliza clouds sana humu ndani....siamini!
Kura za maoni zinarudiwa baina ya Sioi Sumri na W. Srakikya kwa kuwa hawakufukisha asilimia 50.
Demokrasia CCM ni safu sana.
Source: Nape kupitia Clouds FM
Na mie nashangaa hivi kuna great thinker anayeweka ****** chini na kusikiliza hii redio station? Ni majungu,umbea,upashukuna nk...