Bagumako Yoweli
Member
- Feb 9, 2012
- 58
- 10
Binafsi mimi kwetu ni Kigoma, lakini kwa maslahi ya
Taifa nilazima ZZKanyimwe kura kwasababu ni mbinafsi mno, hana
credibility ya Uongozi,ana hasira na visasi na Umri wake hautoshi kuwa Rais
na kwa tabia yake ya kutengeneza makundi(rejea : kuhama kwa Kafulila na matusi
ya H.Mchange kumtukana Slaa kwa kumwita kazee) atakuwa kama JK.
Taifa nilazima ZZKanyimwe kura kwasababu ni mbinafsi mno, hana
credibility ya Uongozi,ana hasira na visasi na Umri wake hautoshi kuwa Rais
na kwa tabia yake ya kutengeneza makundi(rejea : kuhama kwa Kafulila na matusi
ya H.Mchange kumtukana Slaa kwa kumwita kazee) atakuwa kama JK.