Raheem Nur
Member
- Jun 20, 2012
- 10
- 1
bila kumdhihaki yoyote,dr slaa yupo juu sana kwa zitto kabwe, na km chadema hawatavurugana kabla ya uchaguzi mkuu na wakiendelea na kampeni nchi nzma hata kama hawatapata urais lakin watakuwa na wabunge wengi sana hata nusu wanaweza pata, cha muhmu ni mshikamano wa chama,zitto kuna kipindi alipata umaarufu mkubwa sana tatizo alikuja kukaa kimya sana mpaka ushawish wake umepungua sana, inabd arudishe umaarufu kwanza ndo awanie urais sasa hivi chadema ni dr.slaa ndo anauza so wamtumie vizuri