Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

Ni nani ungependa agombee urais mwaka 2015 kwa tiketi ya CHADEMA?

  • Zitto Z. Kabwe

    Votes: 180 15.3%
  • Wilbrod P. Slaa

    Votes: 996 84.7%

  • Total voters
    1,176
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
too emotional topic, dr Slaa ana rekodi nzuri ya uongozi kuliko zito kabwe,

Dr. W.Slaa
1.kwanza alishinda Urais mwaka 2010, tume ya uchaguzi haijawahi kukunusha haya madai, na bado hawana takwimu sahihi kwa sababu walivurugu utaratibu il mtu wao ashinde
2.ni kiongozi makini aliyekipa chama mvuto na mchango wake mkubwa umepelekea kupatikana wabunge 22,
3.ameendelea kusimamia umoja na uadilifu ndani ya chama
4.ni mzalendo wa kweli. ukimtazama
5.anaaminika sana na watu makini hata ndani ya CCM
6.ana ushawishi mkubwa hata nje ya nchi,
7.si mdini hata kama aliwahi kuwa padri

zitto Kabwe
i. ni kijana machachari mjenga hoja.anahitaji kujifunza zaidi siasa tumpe miaka kama 20,ijayo atakuwa ameiva
 
Nani kakuambia mazishi ya rais? Hata mtembee uchi hakuna rais atatoka kwenye upadri.

ha ha ha ha ha mbona unapanic? kweli wewe ndio msukuma bandia bila tusi hujisiki kuchangia hoja? aza kujianda kuwa chama cha upinzani, WE MUST WIN
 
subiri uone udini wa chadema watakavyomrukia ZITTO. wanajua zitto ni kichwa kupita hata huyo slaa lakini slaa wanampenda kwa kuwa ni PADRI.

utoto ni kitu kibaya.
Kwanini mnapandikiza udini kwenye siasa?
 
subiri uone udini wa chadema watakavyomrukia ZITTO. wanajua zitto ni kichwa kupita hata huyo slaa lakini slaa wanampenda kwa kuwa ni PADRI.

Mkuu umegonga penyewe nyundo ya kichwa hiyo hahahahaha
 
Hii ni dharau kubwa sana, me nadhani umekosea, labda tuwashindanishe
zito vs shibuda
naomba tuanzie hapa kwanza
mwenye uelewa kanielewa ila mjinga atachelewa.
 
Mbona sikuhizi umeacha kuvuta limdomo lako kubwa kama Ngamia huko mjengoni ?

kwani laana yake ya mauaji unadhani itamuacha?

Hivi kwani computer used ntapata wapi? Nijuze
 
ZITTO for presidency.... Hata ule wimbo wa chadema unaimba "Chadema chademaa, Zitto is power.... Chadema Chademaa, Zitto is power" hahhaa, yaani inatiririka tu.
 
Hii ni dharau kubwa sana, me nadhani umekosea, labda tuwashindanishe
zito vs shibuda
naomba tuanzie hapa kwanza
mwenye uelewa kanielewa ila mjinga atachelewa.

Ni kweli kabisa mkuu ni dharau kubwa sana hapa kihalali labda level ya ZZK ni MBOWE na sio SILAA hawa ZZK na MBOWE ndio walioifikisha CHADEMA hapo ilipo sasa na si huyo BABU BACHELA
 
mimi nampenda zitto,no slaa,no zitto hapana slaa zaidi lakini zitto anajua kujenga hoja,subiri subiri slaa ni zaidi jamani anakubalika zaidi au???.

nimechanganyikiwa lakini kwa sababu baada ya katiba mpya tutakuwa na serikali tatu zitto awe rais wa jamhuri ya tanzania,dr slaa wawe rais wa tanganyika na zanzibar walete yeyote kutoka chama cha jahazi asilia.
 
Hivi tangu zito alipowekwa kwenye ile naniii ya Madini mbona aligeuka maji ya mtungini?.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom