Kura 2011 nchini Russia; Putin arudi mamlakani!

hata mimi nimemchoka putin ni sawa na hapa tuje kusikia mkwer3 au che nkapa awe rais tena haki ya mama nitaua mtu sitaki tena hawa wapuuzi
 
Ivuga kama marekani hahusiki iweje 'Revolution' ishike kasi baada ya Mama Clinton kusema uchaguzi haukuwa fair?
Je, marekani walikuwa na waangalizi wa uchaguzi huko?
Mbona tamko la marekani lilikuja haraka kuliko lile Ulaya?

America and western Europe fear for Putin, thats the fact!

-Revolution haijashika kasi baada ya tamko la MAMA Clinton..Putin aliisingizia marekani ili wananchi walio wengi ambao hafuatilii politics ya urusi wajue kuwa marekani ndio inahusika ..ila kiukweli ni kuwa wananchi wa hapo urusi wamemchoka jamaa na wanataka demokrasi hawataki arudi madarakani ..na chama kikuu cha upinzani chenye sapoti kubwa ni cha kikomunism hakina urafiki na marekani na sapoti yake kubwa ni wazee (wabibi na wababu) ambao bado wana damu ya kiujamaa.
-Marekani sina uhakika kama ilikuwa na waangalizi wa uchaguzi ..ila kilichotokea ni kuwa baada ya uchaguzi watu wengi walikuwa na hiden cameras so walituma zile clips zote zinazoonyesha jinsi kura zilivyoibiwa kwa hiyo kila kitu kipo wazi hakuna kuhisi kwa sababu ushahidi upo wazi na clips zote zipo kwenye mitandao.

even though western europe and usa fear for Putin but big % of russians they dont support him ..warusi hawataki kabisa kusikia kitu kinachoitwa VITA hawataki kabisa kusikia katika masikio yao .(kwa sababu kila familia nchini urusi ilipoteza mtu/watu kwenye vita kuu ya dunia)
- chama cha Putin ( idinaya rassia) kinashutumiwa kwa kuwa na wala rushwa wengi sana na kinaongozwa kiurafiki na kimabavu sana ...
 
Ila Puti nae hana haya ulikuwa raisi unataka kurudi tena
Mwache wamwandame bse ni mbinafsi bse of all the Russians yeye ndo anafaa sana kuiongoza Russian for the 2nd time why!
 
Putin and Medvedev try to calm Russian election outcry

Prime minister's spokesman says Kremlin will listen to protesters, while president promises investigation into disputed election result
Russian-opposition-activi-007.jpg

Russian opposition activists protesting against alleged fraud in the 4 December elections carry posters with photos of Dmitry Medvedev and Vladimir Putin reading: 'Boys, it's time to go!' Photograph: Yuri Kadobnov/AFP/Getty Images


The Russian leadership has sought to calm tensions following an unprecedented protest against Vladimir Putin that brought tens of thousands of demonstrators on to the streets of Moscow.
The prime minister has yet to comment on the protest, but his spokesman, Dmitry Peskov, said: "We respect the point of view of the protesters. We are hearing what is being said. We will continue to listen to them."
Up to 50,000 people demonstrated in Moscow on Saturday following the disputed parliamentary election in which Putin's United Russia party won nearly 50% of the vote amid widespread allegations of fraud.

Protests took place in more than 50 cities, with a reported 7,000 people gathering in St Petersburg and up to 4,000 in the Siberian city of Novosibirsk, despite the temperature of -20C.

Protesters have promised to gather again in two weeks' time if the Kremlin refuses to annul the result, which was confirmed by the election commission on Friday.

Peskov said: "In the past few days, we also witnessed demonstrations by other segments of the population who were supporting those results." United Russia is rallying supporters for a protest on Monday in support of Putin and President Dmitry Medvedev.

Medvedev, seen as politically irrelevant since Putin announced his intention to return to the presidency, took to his Facebook page to say that vote violations would be investigated.

"I do not agree with the slogans or speeches made at the protests," Medvedev wrote. "Nonetheless, I have given the instruction to investigate all messages from polling stations related to the following of electoral law." The message – which did not say which state body would carry out the investigation, the time limit or potential consequences – provoked thousands of mocking comments within minutes.

"Dmitry Anatolievich, are you kidding? There were no elections! There was ballot stuffing!" wrote one user.
"This is called separation from reality – you need to see a psychiatrist," wrote another.

The Kremlin has been struggling to come to terms with its new politically active population. State-run television covered the protests, departing from its usual pro-government propaganda.
Opposition leader Boris Nemtsov wrote in his blog: "I am happy – 10 December 2011 will go down in history as the day the country's civic virtue and civil society was revived. After 10 years of hibernation, Moscow and all Russia woke up."

Officials, however, continue to attempt to portray the protesters as traitors, following Putin's charge that Hillary Clinton, the US secretary of state, prompted the show of discontent.
Alexander Isayev, a United Russia Duma deputy, tweeted: "A reminder that on Monday at 4pm on Manezh Square, there will be a demonstration by supporters of Putin and Medvedev – those who love Russia and don't want revolutionary turmoil."

Dmitry Gudkov, a member of Just Russia, a Kremlin-created opposition party that won 64 seats in the Duma, said members of the party were trying to negotiate with the Communists, the largest opposition party in the Duma, to force a new vote.

The unprecedented show of discontent comes just three months before a presidential election that is expected to sweep Putin back into the Kremlin . However, the Levada Centre, an independent Russian pollster, says the prime minister's approval rating fell to a 35% low in October.
 
something is coming with this wind which is blowing. Read this piece of information:
Naliona katika maono yangu wakati wa usiku; na tazama, hizo pepo nne za mbinguni zilivuma kwa nguvu juu ya bahari kubwa. Ndipo wanyama wakubwa wanne wakatoka baharini, wote wa namna mbalimbali.
 
Back
Top Bottom