Ilikuwa ni mipango ya Putin kurudisha uchumi wa Urusi uwe na nguvu kama zamani na yeye anauchungu sana kwa kuanguka kwa ujamaa wa kirusi hivyo anataka kuurejesha. Urusi ikiwa ni supplier wa gas Ulaya yote atatumia gas na makaa ya mawe kama njia za kujenga uchumi.
Putin ni mkuda tu, angeweza kumsaidia Ghadaff kama angetaka, mana ana nguvu kubwa ya kijeshi na technology lakini akamwacha yule mzee akiuwawa sasa Russia inabaki kuwa mpiga debe tu kama walivyo wale mazezeta wanajiita AU...hawana madhara mbele ya mashetani ya Ulaya na Us...
Hata Katiba ya Tanganyika huru, inamruhusu Mzee Mwinyi, Mkapa kugombea uraisi tena. Soma katiba uijue.Hi shughuli ya Putin na mwenzie ni kimeo yaani
sijui hii democrasia yao iitweje kama vile maigizo
Juzi Putin alikua Rais anataka tena agombee
awe rais kipindi kijacho sasa sijui medvedev atakua
waziri mkuu wake ?
angeweza kumwambia msela wake medved na akatoia huo msaadahakuwa madarakani