Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Ila CCM wamefilisika ki sera na mtizamo. Yaani ni kama za mwizi 40! Yaani wamechakachua hadi uchaguzi wa east africa! Nadhani inabidi akina Benjamin wakatafute uzoefu wa Arap Moi wa Kenya jinsi ya kuishi kama muasisi mpinzani. Maana sipati picha kama upinzani ukichukua nchi nadhani akina Ben watakosa kabisa mialiko.